Yutong na Scania

ile scania ya happy nation ilikuwa inaitwa sauti ya manka acha kabisa mzee, nakumbuka tuliikodi wanachuo mbeya ilitoka saa 12 asubuhi dar tulifika saa 9 kipindi ile hakukuwa na tochi wala checkpoint.

umenikumbusha mbali aisee ndugu.
 
Ilasi kwa Scania ya Majinjah Dar-Sumbawanga inasubiri sana tena sana.
ilasi hana mpinzani kwa ruti ya nyanda za juu kusini. Achana na ile mashine. Ukitaka kumkimbiza uwe na mafuta ya kutosha la sivyo atakutia hasara. SCANIA 95D 310HP ziko kama zinavichaaa hivi.
 
Dah.....wanawake wengine hatupo huko.......
Tupo zaidi kwenye kukimbiza shilingi........kuuza sura mjini hatujapangiwa,,,,,,,
Nakutania tuu Mrembo,lakini hongera sana maana ni wewe tuu upo kwenye huu Uzi hao wengine utafikiri wanapandaga ndege.
 
ni kweli happy nation, alsaedy na muro wamefanya hivyo. Happy nation ni T777 BXB
 
ile scania ya happy nation ilikuwa inaitwa sauti ya manka acha kabisa mzee, nakumbuka tuliikodi wanachuo mbeya ilitoka saa 12 asubuhi dar tulifika saa 9 kipindi ile hakukuwa na tochi wala checkpoint.

umenikumbusha mbali aisee ndugu.
Mm huwa napenda mabasi yanayokimbia lkn siku niliyopanda hiyo Scania Happynation ya mbeya sitakuja kusahau maana nilijawa hofu ajabu, ilikuwa inakimbia ktk namna ambayo siwezi kueleza hapa. Iliyapita mabasi yote ya mbeya ambayo yalikuwa yametangulia. Huwa siisahau safari ile. Nimepanda mara mbili.
 
ile scania ya happy nation ilikuwa inaitwa sauti ya manka acha kabisa mzee, nakumbuka tuliikodi wanachuo mbeya ilitoka saa 12 asubuhi dar tulifika saa 9 kipindi ile hakukuwa na tochi wala checkpoint.

umenikumbusha mbali aisee ndugu.
Teh teh teh,Mkuu tukianza kutoa real mifano ya kazi nzito za Scania hawa Team Yutong watakimbia hapa. Kuna Scania moja ya kampuni ya Ngorika ilikuwa inaitwa Macedonia safari ya Dar-Arusha ile kitu ni moto wa kuotea mbali ilikuwa inatoka Dar saa12 asubuhi ipo Arusha saa7 mchana. Kuna kipindi cha Xmas ilikuwa inatoka Dar saa12 asubuhi saa6 kamili ipo Moshi Mjini then inageuza kurudi tena Dar ili kuja kubeba Abiria wa kesho yake asubuhi. Kama una roho nyepesi ulikuwa huwezi kupanda ile Gari na haijawahi kupata ajali hata mara moja mpaka inastaafu kwa utumishi wake uliotukuka.
 
Watu mpo deep mpaka raha mi nahitaji kuanzisha kampuni ya usafirishaji vp inalipa jmn?
 
Sasa hizi dharau.......mnatuonaje lakini......?
Mmh! Mimi kuna memba flani humu wana id za kike kwa kweli wananichanganya sana. Kwa mfano ww preta , since mm najiunga hapa nakuona tu upo active saa zote mida wote. Napatwa na wasiwasi kama kweli wewe ni mtu mmoja.. na pia napata wasiwasi kama kweli ww ni mwanamke.
 
Kwa wakati ule iliwezekana. Unajua gari kama ikiamua kutembea, kufika Moshi saa6 ni kawaida. Hiyo ni speed range ya 120km/hr na 130km/hr. Hapo unazungumzia delay time ya nusu saa kwa mizani na sehemu ya chakula say Korogwe. Kwa kutumia 120km/h kwa masaa 5 na Nusu, basi hizo ni kilometa 660. Kumbuka umbali wa Dar hadi Moshi Mjini ni Kilometa 562 tu. So kwa masaa 6 siyo ajabu sana.
 
aaah we Preta kalale bhna hujui hata horsepower ni nn !!! sijui unatafuta nn huku
 
we CHAZA hzo hesabu ulizopiga ni za wap ? huez kuwa na average ya 120km kwa saa ukiwa na bus ata vitz haiwezekani average spd huwa ni ndogo sana kuliko unavydhan .......average kubwa niliowah iona kwa 330km from arusha tu singida, bus lilikuwa ni mghamba ambapo lilitumia masaa matatu na dk 55 sawa na average ya 86km/hr ... afu ww unaongelea average ya 120 haiwezekan hata kidogo
 
T̤̈ä̤n̤̈z̤̈ä̤n̤̈ï̤ä̤ s̤̈c̤̈ä̤n̤̈ï̤ä̤ ẅ̤ä̤m̤̈ë̤l̤̈ë̤ẗ̤ä̤ b̤̈ä̤s̤̈ï̤ ÿ̤ä̤ s̤̈c̤̈ä̤n̤̈ï̤ä̤ k̤̈ä̤b̤̈ï̤s̤̈ä̤ n̤̈g̤̈ö̤j̤̈ä̤ ẗ̤ṳ̈ö̤n̤̈ë̤
 
Una uhakika na haya usemayo na ushawahi panda Majinjah?nishapanda hiyo Newforce ya Tunduma na Kyela bado sijaona ni vipi anamkalisha Majinjah.
unachobisha nini sasa au unataka na ushuhuda wa picha iyo majinja yako inavogonga matako ya wenzie ikipitwa?
 

Wacha nikuwekee picha ya chuchu........
Unataka ya kulia au ya kushoto........?.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…