Yutong first class kdgo zpo vzur ila scania hana mpinzani kabisa akifatiwa na marcopolo
marcopolo ni aina ya bodi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yutong first class kdgo zpo vzur ila scania hana mpinzani kabisa akifatiwa na marcopolo
Cjakataa mkuu kuna scania kama scania na kuna scania marcopolo,scania skyline,na nyingne nyingi..na ni company tofauti hzo Ndo mana nkasema hvo
marcopolo ni aina ya bodi
Yutong first class kdgo zpo vzur ila scania hana mpinzani kabisa akifatiwa na marcopolo
Kweli kabisa. Kwani hata Toyota Landcruiser VX, Toyota Prado, Toyota Corolla, Toyota Camry n.k. ni company tofauti.
marcopolo wanaunda mabodi tu .inaweza kuwa benz,daf,ud ,isuzu etc .ni kampuni ya brazil imewekeza afrika kusini
You can not rely on chinese trucks. Why?
1. Wanakopy na ku-paste
2. Engineering concept inakuwa ya kuiga
3. Wanchokifanya wao n ku design the same Mercedez Benz ambayo unaitwa Beeben, then when you want to push the truck to the maximum, tolerance inkuwa zero.
If you know Engines and how it's supporsed to work, scania, Benz, Volvo , Man,caterpillar , Detroit ,then you know what in talking about.
Achana na concept ya kuongezea sensor ya truck detection wakati wa mlima au mteremko, I'm talking about the the really monsters, Kama hizo nilizozisema hapo chini
Unajua unachokisema lakini?Yutong first class kdgo zpo vzur ila scania hana mpinzani kabisa akifatiwa na marcopolo
jamani,
hiyo safari ya mbali inayochemka yutong ni ipi?
dar to mza?
dar to songea?
dara to mbeya?
dar to arusha?
mnajua ni aina gani ya basi zmeshika hzo njia?
au mnazungumzia route za kigoma na bukoba?
mnajua aina gani ya gari zinaenda kigoma na bukoba?
1.mmewahi kujiuliza ni kwanini znaenda huko?
2.je?zilianzia huko au zimeenda huko baada ya kutumika sehemu nyingne?
hii pia inawahusu ndugu zetu wa lindi na mtwara japo siwaweki miongoni mwa safari ndefu.
kwa ishu ya usafirishaji wa abiria, yutong ni gari ya biashara!
Unajua unachokisema lakini?
Marcopollo ni
watengenezaji wa body za mabasi. Iwe tata, scania au Benz, wao kazi yao
ni kujenga body tu. Yutong vs Scania? Scania wins
Gotcha at least!Cjakataa mkuu kuna scania kama scania na kuna scania marcopolo,na nyingne nyingi..na ni company tofauti hzo Ndo mana nkasema hvo
General.Nadhani watu awajaelewa concept ya Scania Bus ambayo ni original na Bus la scania chases yake niya lori.When you decide to enter into a business you should make a financial analysis the payback period,the anticipation of breakeven,the risk associated with the business.For me Scania bus original not scania bus with lorry chases,they are better for making profit whether it will take long time to make a profit still scania can be better than yutong.
yutong hazitumii injini za mchina ila za muingereza zinzoitwa cummings.ni mojawapo ya injini bora kabisa.