The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Endelea ongozana nayo baadaye jioni unipe taarifa amekupoteza saa ngap.
Kwa sasa hivi hawatapotezana sana mkuu, kuna sheria za barabarani zinabana sana mabasi, hayaendi kabisa. Mabasi yote ya Mwanza lazima yalale njiani. Mwendo mdogo sana.