Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Haya mambo ndio unayopata kwa kutegemea umeme wa serikali, Tanzania haina haja kabisa ya kuwa na tatizo la umeme, wape private corporations washindane wazalishe na kuuza umeme, serikali isimamie sera tuu na kuangalia kwa makini michezo michafu ya wafanyabiashara ili wasitupige, CCM haiwezi na haitoweza kuzalisha umeme wa kutosha, TANESCO ni kama fuko lao la kampeni na rushwa, kila wakiishiwa wanaenda kuchota, na bila umeme wa uhakika na bei nzuri sahau maendeleo