Za ndaani: Barbara Gonzalez kuchukua nafasi ya Salim 'try again simba

Za ndaani: Barbara Gonzalez kuchukua nafasi ya Salim 'try again simba

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jinga kweli yule jamaa huyo ndo alishusha chart ya maendeleo simba. Linakua kama demu kuchonganisha watu
[emoji23][emoji23][emoji23] anajaribu kukimbia kivuli chake mwenyewe....alishawahi kusemaa SIMBA Ni lidude likubwaaa!! Eti saivi anapinga....aliye mpumzisha usemaji kamsaidia sanaaa kwakweli

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
1) Mo hausik na usajili kwenye angle ipi? Ya kutoa pesa au ya kutafuta wachezaji? Kama ni kutafuta wachezaji Mels Daalder si ndiye kapendekezwa kuwa head of scouting?

2) Babra aliikuta Simba tayari ipo kwenye mafanikio na wala sio kwamba ndiye aliyeitengeneza Simba. Babra kateuliwa Simba msimu wa 2020/2021 wakati huo tayari Simba ilikuwa tayari imetoka kucheza robo fainali mbili moja ilikuwa ni klabu bingwa 2018/2019 na nyingine ni shirikisho 2019/2020.

Katika hiyo misimu miwili Simba ilikuwa ina wachezaji wakigeni ambao na wazawa ambao tayari walisha click kwenye mfumo wa Simba
Kulikuwa na
1) Okwi
2) Chama
3) Kotei
4) Gyan
5) Juuko
6)Kwasi
7) Kagere
8) Niyonzima
9)Wawa
10) Zana

Wakafanya Replacement
1) Fraga
2) Da Silva
3) Shiboub
4) Kahata

Babra anakuja Simba 2020 anaikuta Simba tayari ina wachezaji na ilishaanza kupata mafanikio. Na wachezaji waliosajiliwa pindi yeye akiwa CEO ni
1) Morrison
2) Ilanfya
3)Onyango
4) Duchu
5) Bwalya
6) Mugalu
7)Ame Ibrahim

Chini ya huo huo uongozi wa Barbara tulishuhudia Yanga akianza kuchukua makombe msimu wa 2021/2022 ni vipi hapo tukihoji kuwa pengine alikuwa anatembelea upepo wa watangulizi wake na baada ya upepo kuisha akashindwa kuonesha uwezo wake wa kiuongozi ili Simba iendeleze kubeba mataji?

Mastermind wa Simba alikuwa ni Zacharia Hans Pope na Simba ilifanya vizuri kutokana na uwepo wa huyo mtu akisaidiana na Magori, na alipofariki huyu ndio ikaonekana pengo na matatizo ya Simba.

Swali lako la mwisho umeniuliza toka Barbara aondeke ni mchezaji gani wa maana.
Kabla ya kutaja wachezaji tuangalie achievement ya Simba akiwepo Barbara na sasa.
Kwenye klabu bingwa kipindi cha Barbara ni hatua ya robo fainali jambo ambalo wa sasa wameweza kulimantain. Swala la ubingwa wa ligi kuu hata yeye Barbara alishuhudia Yanga akiwa bingwa wa ligi kuu.

Inamaana wachezaji wote waliopo Simba sio wa maana? Ayoub? Inonga? Sakho? Ngoma?
Mtu sana wewe
 
Sasa tatizo la mo hapo likwapi mtu anatoa billions msajili viongozi wa team wanazingua wenyewe..
Mnataka mo aje wasajili yy mwenyewe yule ni investor sio director wa team!
Kwahiyo wewe unaamini Mo anatoa tu mabilioni ya pesa bila hata kufatilia? Labda huwajui vizuri wahindi.
Na kama unajua kuwa Mo ni investor sio director, kuna investor gani atakaa mbali na kile alicho ki invest? Investor lazima afatilie kwa asilimia mia kila kitu kwasababu faida na hasara zitamuhusu yeye.
 
Kitu pekee cha kuweza kuinua Simba ni katiba mpya, kwa jinsi ilivyo hata huyo Barbra anayeletwa atafanya kazi kwa maslahi ya Mo. Hivyo inategemea na akili ya Mo je inawaza kupata faida kubwa kupitia timu au kuifanya timu ya Simba iwe kubwa Africa.
Huyo mama aliletwa na Mo Simba, kabla ya hapo alikuwa personal assistant wa Mo na baadae CEO wa Mo Foundation.

Utendaji wake ni mzuri ila unachangiwa na backup kubwa aliyoitoa Mo kipindi yupo ila Try Again amefanya kazi kwa kumbembeleza sana Mo kutoa fungu toka walipojitoa mkataba wa Sportpesa chini ya shinikizo la Mo alipotaka wapewe zaidi kuliko Yanga.
 
Nitakuwa wa mwisho kuamini kama matatizo ya Simba yanatokana na akina Try again.
Tatizo la Simba lipo kwa Mo mwenyewe, huyu boss swala la maarifa na busara za kiuongozi hana kabisa.
Kiuongozi anashindwa ku deal na changamoto za timu mpaka asikilize mashabiki wanataka nini. Mashabiki tunamtaka Chama kiongozi unafuata,
Mashabiki tunamtaka Luis kiongozi unafuata.
Mashabiki tunamtaka Barbra kiongozi huyo unafuata.
Jana alipotoa kauli kuwa atakuwa live Instagram kusikiliza maoni ya mashabiki kuhusu timu ya Simba ni mchezaji gani aachwe na mchezaji gani asajiliwe, ndipo nilipogundua mwenendo wa Simba unachangiwa na huyu mtu.

Kitu pekee cha kuweza kuinua Simba ni katiba mpya, kwa jinsi ilivyo hata huyo Barbra anayeletwa atafanya kazi kwa maslahi ya Mo. Hivyo inategemea na akili ya Mo je inawaza kupata faida kubwa kupitia timu au kuifanya timu ya Simba iwe kubwa Africa. Yule mkuu wa scouting si aliteuliwa na huyo huyo Mo lakini tunaona aina ya wachezaji wanaosajiliwa wakifanya vibaya lawama ni kwa Mangungu na try again utafikiri wao ndio wanaosajili. Hata kama tukisema kuna upigaji, hakuna mtu mwenye uhungu na pesa yake kama muhindi. Muhindi huwa ana mentality ya kupigwa hivyo kwenye swala la pesa ni lazima ajue pesa yake imetumikaje. Muhindi anaweza kupa ela ukanunue kitu na lazima atataka uthibitisho wa bei uliyonunulia ikibaki hata mia tano tu haisamehewi. Muhindi yupo makini sana kwenye pesa haibiwi kizembe na huwa haamini mtu.

Simba itarudi kwenye ubora mpaka Mo mwenyewe aamue kuwa serious na Simba katika upande wa kuijenga na sio upande wa kuinyonya
Hili bandiko liwekewe lamination.
 
Mo aliwahibsema ahusiki na usajili ( dont know if it true or not) but utakuwa mjinga ambae huoni shida kwa salim na mangungu, babra aliwezaje ku strive before na mo akiwa boss? Alifanikiwaje?

toka babra aondoke simba wamesajil mchezaji yupi mwenye maana? Yupi effective?
Simba wanapata wachezaj wa bei che ambao viwango vimewaisha. And nani yupo kwenye jukumu hilo?

Simtetei Mo , ila uongozi uliotakiwa umsaidie ni mbovu na sio efficient
Hayo mafanikio ya Simba wakati huo yalichangiwa sana na ubovu wa Yanga na serikali kuwa sehemu ya Simba mfano PM, alokuwa mkuu wa mkoa n.k toka huu utawala uondoke au uishiwe nguvu ndo Simba imeanza hapo tetereka.

Hizi ni timu za serikali, inategemeana pia ni nani amekalia kiti.
 
Kama ni hivi utopolo lazima walie Jumamosi.
Najua kuna mjinga mmoja atauliza kwani Barbara ndo anacheza?
Jibu ni NDIO.
 
1) Mo hausik na usajili kwenye angle ipi? Ya kutoa pesa au ya kutafuta wachezaji? Kama ni kutafuta wachezaji Mels Daalder si ndiye kapendekezwa kuwa head of scouting?

2) Babra aliikuta Simba tayari ipo kwenye mafanikio na wala sio kwamba ndiye aliyeitengeneza Simba. Babra kateuliwa Simba msimu wa 2020/2021 wakati huo tayari Simba ilikuwa tayari imetoka kucheza robo fainali mbili moja ilikuwa ni klabu bingwa 2018/2019 na nyingine ni shirikisho 2019/2020.

Katika hiyo misimu miwili Simba ilikuwa ina wachezaji wakigeni ambao na wazawa ambao tayari walisha click kwenye mfumo wa Simba
Kulikuwa na
1) Okwi
2) Chama
3) Kotei
4) Gyan
5) Juuko
6)Kwasi
7) Kagere
8) Niyonzima
9)Wawa
10) Zana

Wakafanya Replacement
1) Fraga
2) Da Silva
3) Shiboub
4) Kahata

Babra anakuja Simba 2020 anaikuta Simba tayari ina wachezaji na ilishaanza kupata mafanikio. Na wachezaji waliosajiliwa pindi yeye akiwa CEO ni
1) Morrison
2) Ilanfya
3)Onyango
4) Duchu
5) Bwalya
6) Mugalu
7)Ame Ibrahim

Chini ya huo huo uongozi wa Barbara tulishuhudia Yanga akianza kuchukua makombe msimu wa 2021/2022 ni vipi hapo tukihoji kuwa pengine alikuwa anatembelea upepo wa watangulizi wake na baada ya upepo kuisha akashindwa kuonesha uwezo wake wa kiuongozi ili Simba iendeleze kubeba mataji?

Mastermind wa Simba alikuwa ni Zacharia Hans Pope na Simba ilifanya vizuri kutokana na uwepo wa huyo mtu akisaidiana na Magori, na alipofariki huyu ndio ikaonekana pengo na matatizo ya Simba.

Swali lako la mwisho umeniuliza toka Barbara aondeke ni mchezaji gani wa maana.
Kabla ya kutaja wachezaji tuangalie achievement ya Simba akiwepo Barbara na sasa.
Kwenye klabu bingwa kipindi cha Barbara ni hatua ya robo fainali jambo ambalo wa sasa wameweza kulimantain. Swala la ubingwa wa ligi kuu hata yeye Barbara alishuhudia Yanga akiwa bingwa wa ligi kuu.

Inamaana wachezaji wote waliopo Simba sio wa maana? Ayoub? Inonga? Sakho? Ngoma?
Tunasema kila siku humu, shida ya Simba ni MO, huyu jamaa ameifanya Simba ni kuwa reliable source yake ya Income, mbaya zaidi anapiga saana.

Haya mabadiliko ya sasa ya Simba, yamkini yataiboost kidogo Simba ila bado haitaweza kutawala Soka la Tanzania.
 
1) Mo hausik na usajili kwenye angle ipi? Ya kutoa pesa au ya kutafuta wachezaji? Kama ni kutafuta wachezaji Mels Daalder si ndiye kapendekezwa kuwa head of scouting?

2) Babra aliikuta Simba tayari ipo kwenye mafanikio na wala sio kwamba ndiye aliyeitengeneza Simba. Babra kateuliwa Simba msimu wa 2020/2021 wakati huo tayari Simba ilikuwa tayari imetoka kucheza robo fainali mbili moja ilikuwa ni klabu bingwa 2018/2019 na nyingine ni shirikisho 2019/2020.

Katika hiyo misimu miwili Simba ilikuwa ina wachezaji wakigeni ambao na wazawa ambao tayari walisha click kwenye mfumo wa Simba
Kulikuwa na
1) Okwi
2) Chama
3) Kotei
4) Gyan
5) Juuko
6)Kwasi
7) Kagere
8) Niyonzima
9)Wawa
10) Zana

Wakafanya Replacement
1) Fraga
2) Da Silva
3) Shiboub
4) Kahata

Babra anakuja Simba 2020 anaikuta Simba tayari ina wachezaji na ilishaanza kupata mafanikio. Na wachezaji waliosajiliwa pindi yeye akiwa CEO ni
1) Morrison
2) Ilanfya
3)Onyango
4) Duchu
5) Bwalya
6) Mugalu
7)Ame Ibrahim

Chini ya huo huo uongozi wa Barbara tulishuhudia Yanga akianza kuchukua makombe msimu wa 2021/2022 ni vipi hapo tukihoji kuwa pengine alikuwa anatembelea upepo wa watangulizi wake na baada ya upepo kuisha akashindwa kuonesha uwezo wake wa kiuongozi ili Simba iendeleze kubeba mataji?

Mastermind wa Simba alikuwa ni Zacharia Hans Pope na Simba ilifanya vizuri kutokana na uwepo wa huyo mtu akisaidiana na Magori, na alipofariki huyu ndio ikaonekana pengo na matatizo ya Simba.

Swali lako la mwisho umeniuliza toka Barbara aondeke ni mchezaji gani wa maana.
Kabla ya kutaja wachezaji tuangalie achievement ya Simba akiwepo Barbara na sasa.
Kwenye klabu bingwa kipindi cha Barbara ni hatua ya robo fainali jambo ambalo wa sasa wameweza kulimantain. Swala la ubingwa wa ligi kuu hata yeye Barbara alishuhudia Yanga akiwa bingwa wa ligi kuu.

Inamaana wachezaji wote waliopo Simba sio wa maana? Ayoub? Inonga? Sakho? Ngoma?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Watu mna data!

Naibeba hii naipeleka kijiweni kwenye kahawa, mashabiki wa makolo watanikoma leo kwa hoja hizi.
 
Huyo mama aliletwa na Mo Simba, kabla ya hapo alikuwa personal assistant wa Mo na baadae CEO wa Mo Foundation.

Utendaji wake ni mzuri ila unachangiwa na backup kubwa aliyoitoa Mo kipindi yupo ila Try Again amefanya kazi kwa kumbembeleza sana Mo kutoa fungu toka walipojitoa mkataba wa Sportpesa chini ya shinikizo la Mo alipotaka wapewe zaidi kuliko Yanga.
Kama kumbukumbu zetu zipo sahihi, hapa ndipo shida ya Simba ilipoanzia. Simba ilikataa mkataba wa Sportspesa na wakaingia mkataba wa kipuuzi wa mashaka mashaka na Mbet.

Na hiyo yote ilikuwa janja janja ya Mo, Barbra akiwa ndo mtendaji wa mkataba huu dhalimu.
 
Aliyewahi kuwa mtendaji wa Simba Barbara Gonzalez huenda akawa mwenyekiti mpya wa bodi ya wakurugenzi Simba, kuchukua nafasi ya Salim abdallah 'try again' ambaye anatajwa kujiuzulu nafasi hiyo.

Source: sportsarena_tz

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Babra hata akirudishwa leo hii hawezi akawa na msaada kama wakati ule.
Kumbukeni, wakati ule aliweza kufanya yote hayo sababu The Don na yeye were Love birds.
Sasa hivi yeye mwenyewe akipewa hiyo deal ya kurudi Simba atachomoa sababu anajua atafanya kazi katika mazingira ya akina Mangungu na Kajuna tofauti na awali.
 
Kama kumbukumbu zetu zipo sahihi, hapa ndipo shida ya Simba ilipoanzia. Simba ilikataa mkataba wa Sportspesa na wakaingia mkataba wa kipuuzi wa mashaka mashaka na Mbet.

Na hiyo yote ilikuwa janja janja ya Mo, Barbra akiwa ndo mtendaji wa mkataba huu dhalimu.
Huyo Try Again ni mbuzi wa kafara tu. Tatizo halisi la Simba ni Mo Dewji anajenga structure ya timu inayomtegea 100%. Alifanya kosa kubwa sana kuvunja mkataba wa Sportpesa.

Simba & Yanga toka walipoanza kudhaminiwa na Sportpesa kipindi kile sehemu kubwa ya mishahara ya timu ilitoka huko kwa mwaka, wao walikuwa wanatoa zaidi ya $1M kwa mwaka wakati fedha za wadhamini kama Mo & GSM huwa zinaingia kusaidia kufanya usajiri zaidi. Huku day to day operations kama usafiri, chakula, makazi n.k zilitoka kwa haki za kurusha matangazo Azam pamoja wadhamini wengine wadogo wadogo na viingilio vya mechi.
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.

2. Mbumbumbu SC.

3. Mipang'ang'a SC.

4. Malalamiko SC.

5. Makelele SC.

6. Madunduka SC.

7. Mikia SC.

8. Mazumbukuku SC.

9. Manyaunyau (mapaka) SC.

10. Manyang'au SC.

11. Miso Misondo SC.

12. Mwakarobo SC.

13. Mazombi SC.

14. Kolokhamsa SC.

15. Kolowizards SC.

16. Kinyume nyume SC.

17. Zuwena SC.

18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.

19. Bahasha SC.

20. Ngada SC.

21. Kufa Kiume SC.

22. Masandakolozidad SC.
JamiiForums1683832807.jpg
 
BARBAR HAWEZI KURUDI SIMBA MZEE ABADANI. LABDA BAADHI YA WATU WATOLEWE NDIPO ARUDI.

Barbar hakufanya kitu chochote simba zaidi ya kuiua hio timu, akishirikiana na mwamedi kuleta magalasa kama.

Chikwende, Dunkan nyoni, Peter Banda, na magarasa mengine kibao.

MNGEKUWA NA AKILI MGEMUIMBA SENZO, ILA NDIO HUYO HATAKI HATA KUISIKIA SIMBA.
 
Huyo Try Again ni mbuzi wa kafara tu. Tatizo halisi la Simba ni Mo Dewji anajenga structure ya timu inayomtegea 100%. Alifanya kosa kubwa sana kuvunja mkataba wa Sportpesa.

Simba & Yanga toka walipoanza kudhaminiwa na Sportpesa kipindi kile sehemu kubwa ya mishahara ya timu ilitoka huko kwa mwaka, wao walikuwa wanatoa zaidi ya $1M kwa mwaka wakati fedha za wadhamini kama Mo & GSM huwa zinaingia kusaidia kufanya usajiri zaidi. Huku day to day operations kama usafiri, chakula, makazi n.k zilitoka kwa haki za kurusha matangazo Azam pamoja wadhamini wengine wadogo wadogo na viingilio vya mechi.
Hoja YAKo inafikirisha mkuu, kongole kwako!!!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Ni haiwezi kukosekana...na hata Magori yuko poa ila yeye si ndio mshauri wa Mwekezaji?
Bora wampe uenyekiti wa bodi he is respectable na wanasimba wanaweza kurudisha matumaini.

Ila Try again wamefeli sana transfer kwenye madirisha haya mawili.

Wangeweza kusajili wachezaji watano tu wa kigeni wa maana badala ya kuokoteza wahuni.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom