Za ndaani: Barbara Gonzalez kuchukua nafasi ya Salim 'try again simba

Za ndaani: Barbara Gonzalez kuchukua nafasi ya Salim 'try again simba

Huyo Try Again ni mbuzi wa kafara tu. Tatizo halisi la Simba ni Mo Dewji anajenga structure ya timu inayomtegea 100%. Alifanya kosa kubwa sana kuvunja mkataba wa Sportpesa.

Simba & Yanga toka walipoanza kudhaminiwa na Sportpesa kipindi kile sehemu kubwa ya mishahara ya timu ilitoka huko kwa mwaka, wao walikuwa wanatoa zaidi ya $1M kwa mwaka wakati fedha za wadhamini kama Mo & GSM huwa zinaingia kusaidia kufanya usajiri zaidi. Huku day to day operations kama usafiri, chakula, makazi n.k zilitoka kwa haki za kurusha matangazo Azam pamoja wadhamini wengine wadogo wadogo na viingilio vya mechi.
Kwani sasa hivi hawana mdhamini ?

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Kwani sasa hivi hawana mdhamini ?

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Unafikiri kwa nini kuna taarifa imevuja pesa za mishahara timu in-struggle kulipa? M-bet Tanzania unakifiri anatoa Tshs. 4B kwa kweli? Kwa nini timu imtegemee mwekezaji mpaka ktk mishahara? Baada ya kuingia Sportspesa pesa za mishahara zilitoka ktk mapato yao hawa watu wengine kama Mo & GSM ziliingia ktk fungu la usajili pamoja na day to day operations.
 
Acheno ujinga, fanyeni sajili za maana mshindane na Uto.

Try again ndo alisababisha goli na Ihefu?

Ndo alisababisha kufungwa na mashujaa?
 
Nitakuwa wa mwisho kuamini kama matatizo ya Simba yanatokana na akina Try again.
Tatizo la Simba lipo kwa Mo mwenyewe, huyu boss swala la maarifa na busara za kiuongozi hana kabisa.
Kiuongozi anashindwa ku deal na changamoto za timu mpaka asikilize mashabiki wanataka nini. Mashabiki tunamtaka Chama kiongozi unafuata,
Mashabiki tunamtaka Luis kiongozi unafuata.
Mashabiki tunamtaka Barbra kiongozi huyo unafuata.
Jana alipotoa kauli kuwa atakuwa live Instagram kusikiliza maoni ya mashabiki kuhusu timu ya Simba ni mchezaji gani aachwe na mchezaji gani asajiliwe, ndipo nilipogundua mwenendo wa Simba unachangiwa na huyu mtu.

Kitu pekee cha kuweza kuinua Simba ni katiba mpya, kwa jinsi ilivyo hata huyo Barbra anayeletwa atafanya kazi kwa maslahi ya Mo. Hivyo inategemea na akili ya Mo je inawaza kupata faida kubwa kupitia timu au kuifanya timu ya Simba iwe kubwa Africa. Yule mkuu wa scouting si aliteuliwa na huyo huyo Mo lakini tunaona aina ya wachezaji wanaosajiliwa wakifanya vibaya lawama ni kwa Mangungu na try again utafikiri wao ndio wanaosajili. Hata kama tukisema kuna upigaji, hakuna mtu mwenye uchungu na pesa yake kama muhindi. Muhindi huwa ana mentality ya kupigwa hivyo kwenye swala la pesa ni lazima atafuatilia na ajue pesa yake imetumikaje. Muhindi anaweza kupa ela ukanunue kitu na lazima atataka uthibitisho wa bei uliyonunulia ikibaki hata mia tano tu haisamehewi. Muhindi yupo makini sana kwenye pesa haibiwi kizembe na huwa haamini mtu.

Simba itarudi kwenye ubora mpaka Mo mwenyewe aamue kuwa serious na Simba katika upande wa kuijenga na sio upande wa kuinyonya
Hapa ndio ukweli ulipo mchawi mkubwa wa Simba ni MO, tutahangaika na kina Try again na Mangungu lakini ukweli hela ya usajili inayotoka na ya kibubu na kwa kuwa bodi inanguvu mapato yote yanaenda kwa MO na wajanja wenzake hao kina Try again.
Huyu jamaa hafai kuwekeza Simba yaani GSM ni zaidi ya MO na anaakili ya uongozi na usimamizi
 
Ukitaka kujua hela inayotoka ni ya kibubu angalia wachezaji wazuri waliopendekezwa kusajiliwa na Simba alafu ikafeli kuwasajili.
Hapa kirusi ni MO.
 
SEMA HII NCHI INA MATAHIRA WENGI SANA.

BARBAR NDIO CHANZO CHA KUPOROMOKA KWA SIMBA.

SIMBA ILIJENGWA NA SENZO SIO BARBAR.
FICHENI UPUMBAVU.
 
Kuna mzee unajiita PhD hapa jukwaani

Ni mjinga kweli kweli na anaongoza kwa kuwatukana mashabiki wa simba.

Lakini yeye tu kuandika PhD kwa usahihi hajui.

PhD haiandikwi hivi
 
Mbet

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Na Mbet anawalipa pesa nyingi kwa mwaka kuliko mkataba wa zamani wa Sportpesa.

Pia kwa sasa wana wadhamini wengi kuliko awali sasa pesa ya Mo wanaitaka ya nini wakati CAFCL, gate collections na wadhamini wa ligi na matangazo wanatoa pesa.?

Labda kama kuna hoja ya matumizi mabaya ya fedha za club.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Unafikiri kwa nini kuna taarifa imevuja pesa za mishahara timu in-struggle kulipa? M-bet Tanzania unakifiri anatoa Tshs. 4B kwa kweli? Kwa nini timu imtegemee mwekezaji mpaka ktk mishahara? Baada ya kuingia Sportspesa pesa za mishahara zilitoka ktk mapato yao hawa watu wengine kama Mo & GSM ziliingia ktk fungu la usajili pamoja na day to day operations.
Mo alisema mwenyewe ametoa 3B kwajili ya usajili.

Wewe taarifa za kuvuja wachezaji hawalipwi mishahara unazitoa wapi ?

Club imeshiriki AFL, ina wadhamini zaidi ya sita ikose pesa za kulipa mishahara kuliko kipindi ambacho ilikuwa na mdhamini mmoja.

Sitaki kuwa dumb wa kuamini kitu ambacho hata logic ya kawaida tu inakataa.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Sasa tatizo la mo hapo likwapi mtu anatoa billions msajili viongozi wa team wanazingua wenyewe..
Mnataka mo aje wasajili yy mwenyewe yule ni investor sio director wa team!
Nadhani yanayojili kwasasa yatakupa mwanga kuhusiana na Mo
 
Back
Top Bottom