Za ndaani kuhusu kocha ajaye Simba SC

za ndaani kabisaa wenyewee makolo wanasema kocha wao mpya wa msimu ujao yumo humu humu nchi kwa sasa anamalizana kimtindo na tim aliyo ipa ubigwaa then by next week anaibukia upande wao…………………….. sasa hii sijui ni ktk kukomoana, kwa kweli yajayo yanakera!
 
Jamaa umeandika kwa upako mkubwa sana! 🙏
 
Kuna namna mbili za kumscout kocha, 1.based on performance/ ideas,
2.Based on CV, sijui timu zetu zinatumia ipi ila ya kwanza ni bora kuliko.
Kwangu nafikiri CV is not important lkn ni sehemu tu ya mafanikio
 
Viongozi waliopo Sasa wamekuja na mbio za mwenge mbaka mkija kukaa sawa mtakua mme Chakaaa.
Mbaka= mpaka.

Hivi mbona huwezi kuandika hili neno kwa usahihi au ni athari za lugha yako mama?
 
Hii ni list ya mchongo kabisa haiwezekani Nabi akosekane.

....... [emoji23][emoji23]Alisikika utopolo a,k,a chura mmoja akilia kutuka matopeni.....[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii ni list ya mchongo kabisa haiwezekani Nabi akosekane.

....... [emoji23][emoji23]Alisikika utopolo a,k,a chura mmoja akilia kutuka matopeni.....[emoji23][emoji23][emoji23]
Mlikuwa na kocha wa MADRID na haikuwa kesi, itakuwa huyo?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…