S Sexless JF-Expert Member Joined Mar 11, 2017 Posts 23,683 Reaction score 55,898 Dec 16, 2024 #1 Bado nafuatilia jina la chama hicho na nembo yake. Lakini kitashiriki uchaguzi mkuu ujao wa Madiwani, Wabunge na Rais. Watanzania wengi sana wanakisubiri chama hicho kwa hamu kubwa. Mungu ibariki Tanzania.
Bado nafuatilia jina la chama hicho na nembo yake. Lakini kitashiriki uchaguzi mkuu ujao wa Madiwani, Wabunge na Rais. Watanzania wengi sana wanakisubiri chama hicho kwa hamu kubwa. Mungu ibariki Tanzania.
Von Bismarck JF-Expert Member Joined Jul 11, 2018 Posts 3,890 Reaction score 8,647 Dec 16, 2024 #2 Shida haipo
Blender JF-Expert Member Joined Mar 5, 2022 Posts 4,870 Reaction score 8,035 Dec 16, 2024 #3 Sawa , ruzuku si zipo ?
Idd Ninga JF-Expert Member Joined Nov 18, 2012 Posts 5,497 Reaction score 4,775 Dec 16, 2024 #4 Tutajiunga na chama hicho pia
imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 55,997 Reaction score 88,219 Dec 16, 2024 #5 CCM B zinaota kama Uyoga.
Tlaatlaah JF-Expert Member Joined May 18, 2023 Posts 24,665 Reaction score 25,388 Dec 16, 2024 #6 Sexless said: Bado nafuatilia jina la chama hicho na nembo yake. Lkn kitashiriki uchaguzi mkuu ujao wa madiwani, wabunge na rais. Watanzania wengi sana wanakisubiri chama hicho kwa hamu kubwa. Mungu ibariki Tanzania. Click to expand... CCK square π
Sexless said: Bado nafuatilia jina la chama hicho na nembo yake. Lkn kitashiriki uchaguzi mkuu ujao wa madiwani, wabunge na rais. Watanzania wengi sana wanakisubiri chama hicho kwa hamu kubwa. Mungu ibariki Tanzania. Click to expand... CCK square π
C Covax JF-Expert Member Joined Feb 15, 2021 Posts 10,198 Reaction score 35,323 Dec 16, 2024 #7 Sexless said: Bado nafuatilia jina la chama hicho na nembo yake. Lkn kitashiriki uchaguzi mkuu ujao wa madiwani, wabunge na rais. Watanzania wengi sana wanakisubiri chama hicho kwa hamu kubwa. Mungu ibariki Tanzania. Click to expand... Mbinu za CCM kudhoofisha vyama vya upinzani.
Sexless said: Bado nafuatilia jina la chama hicho na nembo yake. Lkn kitashiriki uchaguzi mkuu ujao wa madiwani, wabunge na rais. Watanzania wengi sana wanakisubiri chama hicho kwa hamu kubwa. Mungu ibariki Tanzania. Click to expand... Mbinu za CCM kudhoofisha vyama vya upinzani.
Davidson david JF-Expert Member Joined Jul 26, 2023 Posts 1,029 Reaction score 1,051 Dec 16, 2024 #8 Vyama vyote vifutwe
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 29,028 Reaction score 69,666 Dec 16, 2024 #9 Anamkimbia mmiliki wa chama kile ili nae awe mmiliki wa chama hicho kipya π₯π₯π₯π₯
Yoda JF-Expert Member Joined Jul 22, 2018 Posts 48,475 Reaction score 70,102 Dec 16, 2024 #10 Umoja Party??
Killa Cam JF-Expert Member Joined Jun 12, 2022 Posts 2,264 Reaction score 6,679 Dec 16, 2024 #11 Iwepo sheria kwa vyama vya upinzani vyote kama havijawahi kuwa na mbunge hata mmoja kwa miaka 10 kifutwe. Hii itasaidia kuokoa hela ya ruzuku na vyama kutumika kwa vyama vikubwa.
Iwepo sheria kwa vyama vya upinzani vyote kama havijawahi kuwa na mbunge hata mmoja kwa miaka 10 kifutwe. Hii itasaidia kuokoa hela ya ruzuku na vyama kutumika kwa vyama vikubwa.