Nobody But Me
Senior Member
- May 4, 2021
- 160
- 111
[emoji23][emoji23][emoji23]Aitoe ya nini sasa? Mwezi mzima mtu yukk mbele unataka ukaiendeshe wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Aitoe ya nini sasa? Mwezi mzima mtu yukk mbele unataka ukaiendeshe wewe
Akili za Mange na H baba, kuna uwezekano hata akinunua nyumba mtasema used.Ha ha mtu ananunua magari used from bongo ndio anunue ndege?
TunamuombeaWeek ijayo star wa Bongo Flavor Diamondplatnumz anatarajia kupokea ndege yake inayotokea nchini Canada [emoji1063]
Diamondplatnumz ameamua kuonyesha umafya kwamba hakuna kama yeye East Africa
Kwa hili lazima anaendelee kuchukiwa
Yaani una akili finyu sana kijana, sawa Diamond atanunua hiyo ndege for himself na familia yake, wewe unafaidika na nini?Week ijayo star wa Bongo Flavor Diamondplatnumz anatarajia kupokea ndege yake inayotokea nchini Canada [emoji1063]
Diamondplatnumz ameamua kuonyesha umafya kwamba hakuna kama yeye East Africa
Kwa hili lazima anaendelee kuchukiwa
Kwani kupanga ndio kutokuwa na uwezo wa kumiliki nyumba? Sababu hata akinunua nyumba mtasema si yako,mtasema "tunataka hati",ila wasanii wengine wakionyesha nyumba zao hamdai hati.Nitarudi hapa baada ya miezi mitatu kukuuliza ndege imepaki wapi tukaione, scumbag as usual, msanii mkubwa kapanga mbezi beach kwenye nyumba ya joniii
Ha ha mtu ananunua magari used from bongo ndio anunue ndege?
Brand new au used...?
Tatizo lenu fans, is that your full of negative thoughts.
Ngoja aje yule jamaa aponde!
Binafs mtu akifanya kitu unique nna appreciate hasa kijana
Wewe n RICADO MOMO AKA MZEE WA KUDERE AU MAANA HAPO WASAFI FM ANAJULIKANA KWA MZEE WA ZA NDANI KABISAA
Si mbaya
Unadhani ndege ni Kama matako vile,kila mtu anayo.
Brand new au used...?
Shobo kwa mwanaume mwenzio, utajuta
Ile gari mnaiona mtaani huko??
Aitoe ya nini sasa? Mwezi mzima mtu yukk mbele unataka ukaiendeshe wewe