KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Mbunge huyo badala ya kufukuzwa anaweza kutumika kumsafisha dikteta; na kuwa njia ya kutoka na kumtafuta wa kumlaumu
Atatangazwa kuwa ni shujaa, na hapo hapo dikteta kuanza kujipamba jinsi anavyowapigania wanyonge wake wasiangamizwe na korona.
Atatafutwa Bangusilo mmoja wa kafara na nyimbo za kumsifu dikteta zitaimbwa kila sehemu kuwa shujaa wa taifa lake.
Hiyo ndiyo kawaida ya madikiteta duniani kote.
Atatangazwa kuwa ni shujaa, na hapo hapo dikteta kuanza kujipamba jinsi anavyowapigania wanyonge wake wasiangamizwe na korona.
Atatafutwa Bangusilo mmoja wa kafara na nyimbo za kumsifu dikteta zitaimbwa kila sehemu kuwa shujaa wa taifa lake.
Hiyo ndiyo kawaida ya madikiteta duniani kote.