Zahera aitwa TAKUKURU

Zahera aitwa TAKUKURU

Hivi wale waamuzi waliochezesha mechi ya Simba na Alliance ni bahati mbaya au ndio janja janja za Simba?
 
Goli alofunga ngasa alikuwa ofside na goli la azam lilikuwa halali
Ila leo huwezi sikia hii kitu
 
Si uzalendo kubisha kuhusu rushwa kwenye soka la Tanzania. Kuanzia Waamuzi, Wachezaji, Viongozi wa Vilabu, Viongozi wa Vyama vya soka, Kamati za ligi, Wadau na wakati mwingine hata mashabiki tu wa soka,, wanajihusisha na rushwa kutengeneza kipato/matokeo.
 
Kwa hiyo alitimuliwa kwa tatizo hilo? Maana Hakuna kocha atakayesema katimuliwa kwa 7bu walizotoa viongozi! Kwani hata simba naamini walitoa 7bu tofauti na alizosema Siang'a! Lkn yote kwa yote kama ilikuwa kweli alipaswa aende kwenye mamlaka husika akatoe taarifa! Eidha polisi, chama cha soka, caf au fifa! Hapo ndio ingekuwa dawa kama ingethibitishwa

Wakati huo uende TAKUKURU kina-mo ndo walikuwa na hati miliki ya nchi hii.
 
Back
Top Bottom