Huwezi jua kamanda, tunaweza jikuta tunabahatisha kushika nyasi ngumu zikatuokoa na mafuriko.....tuache tutapetape majini pamoja na kupambana na hali yetu, si unajua hatuko vizuri mfukoni.Yanga bwana mnatapatapa kama mfa maji.
Wakati wanashuka darajaKuna siku mikia mtakuja wapigia makofi ya shangwe yanga
Boban na kagere nani mzee?kagere kaanzal kucheza mpira wakati police wanavaa vipensi kipindi cha soboso huko,itakua huyu boban alieanza juzi tu hapaYanga veteran bado kusajili kipanya malapa na nteze John rugu
Labda mikia fc ndio washuke daraja na sio yangaWakati wanashuka daraja
Mimi Yanga damu Boban ni mhenga kaja kula pensionMhuu Hapa YOUNG AFRICANS FOOTBALL CLUB "The Citizen Team" bado sijaelewa elewa vizuri hivi. Vipi wananchi wenzangu yaweza kuwa sahihi hii!?
Kagere ana miaka 29 unamfananisha na Boban mhenga miaka 42Boban na kagere nani mzee?kagere kaanzal kucheza mpira wakati police wanavaa vipensi kipindi cha soboso huko,itakua huyu boban alieanza juzi tu hapa