"Nilienda ofisini kwenda kufuatilia baadhi ya mambo lakini ndani ya ofisi kulikuwa na TV inayoonyesha mechi ya African Lyon na Jkt mara nikamuona mchezaji mmoja anapiga pass kiufasaha na touch one two nikamuambia Dismas muangalie huyu mchezaji ni mzuri sana
ananikumbusha mchezaji mmoja wa Ac Milan Zvonimir Boban.
-Mwinyi Zahera
Dah kumbe jina la Boban hakupewa kwa bahati mbaya Haruna moshi
.
ananikumbusha mchezaji mmoja wa Ac Milan Zvonimir Boban.
-Mwinyi Zahera
Dah kumbe jina la Boban hakupewa kwa bahati mbaya Haruna moshi
.