Zahera Mwinyi awafanya TP Mazembe washukie Uwanja wa ndege wa Mbeya badala ya Dsm

Zahera Mwinyi awafanya TP Mazembe washukie Uwanja wa ndege wa Mbeya badala ya Dsm

Jamaa aendelea kuwapotosha wachezaji wa team zinazokuja kucheza na simba.baada ya kuwadanganya Yanga wapitie mlango usio Rasmi wakapigwa Moja na Simba kwa Kagere kuingiza kichwa.

Akaja akashauri azam pia jambo hilo hilo wakapigwa tatu, akawashauri AS Vita wakapigwa Mbili moja...safari hii kawaambia TP Mazembe kuwa uchawi wa simba upo uwanja wa ndege wa DSM hivyo wasishukie hapo wakashukie Mbeya.😂😂😂

Jamaa wameenda kushuka uwanja wa Kimataifa wa Songwe ili kukwepa uchawi wa Simba pale uwanja wa ndege wa Dsm.

Yanga kwa kweli safari hii mmepata kocha mwenye vipaji vingi, ni mganga,mtabiri,msemaji wa team,mfadhilo,coach,manager na daktar wa team pia. Heko

Mbumbumbu buana
1062286
 
Kwakuwa ushasema ushakuwa mpaka kiongozi wa soka ngazi ya kitaifa wacha nikuwache weye(in lufufu's voice) maana utakuwa nawe una mchango wako kidogo katika soka letu bovu na maendeleo duni ya mchezo huo hapa nchini..
We hapo umepiga mahesabu ya ruti za kibiashara, wakati wenzako wamekuja na ndege binafsi sijui unalielewa hilo kwanza, jua hilo kwanza ndio kisha ulete hesabu zako za find x wakat x naiona kwenye karatasi.

Heshima kiongozi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo mijinga hii inapanga ratiba na viporo 10+
 
Weka ushabiki maandazi pemebeni kisha tuonge kwa hoja.. Mleta mada kasema wameshukia mbeya kukwepa juju za simba uwanja wa ndege wa dar sasa, wakija na ndege yao dar watakuwa wamekikwepa nini, labda kama mbeya wameahuka kutalii kidogo hapo sawa, km wanakwepa juju kwa imani zetu huku bara jeusi lazima wasafiri kwa basi.. Jifunze kuelewa kwanza mkuu kabla ya kukimbilia kukosoa na kauli zako mbovu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi wenyewe tu wa kishabiki maandaži na wewe ukačangia kwa kishabiki maandazi sasa mimi nitawekaje pembeni? Hivi wewē unaamini kabisa kuwa kushukia kwao mbeya ni kukwepa juju?
 
Unachekesha sana, hivi unaujua usafiri wa ndege au unazungumzia daladala!? Habari za ukaribu wa Mbeya na Lubumbashi bado hazina mashiko kwakuwa mechi inachezewa Dar, kuna haja gani ya kushukia Mbeya eti kisa ni karibu na Lubumbashi then wachukue Bus mpaka Dar!!?? Hiyo ndege ina maana gani sasa!!??

Sent using Jamii Forums mobile app

Ok...katika mjadala ni rahisi kwa baadhi yetu kudandia hoja nyingine kiushabiki...ni rahisi mno...
 
Kwakuwa ushasema ushakuwa mpaka kiongozi wa soka ngazi ya kitaifa wacha nikuwache weye(in lufufu's voice) maana utakuwa nawe una mchango wako kidogo katika soka letu bovu na maendeleo duni ya mchezo huo hapa nchini..
We hapo umepiga mahesabu ya ruti za kibiashara, wakati wenzako wamekuja na ndege binafsi sijui unalielewa hilo kwanza, jua hilo kwanza ndio kisha ulete hesabu zako za find x wakat x naiona kwenye karatasi.

Heshima kiongozi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ohoo...Inawezekana uko sahihi kwa maelezo yako...
 
Unaandika usichojijua, TP Mazembe wamekuja na ndege yao so hakukuwa na sababu ya kushukia mbeya ambapo itawagharimu zaidi ya 800km kuitafuta Dar. Unataka kutuambia usafiri wa ndege mbeya tu dar unachosha zaidi ya bus!!?? Huna unalojua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Km 800 ? Kwani anga imekuwa na milima na mabonde kama ardhi?
Ndege binafsi shehee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah...tatizo lililopo ni kuwa kwa maelezo yako ni dhahiri haujawahi kuongoza chochote kwenye sekta ya michezo na hasa soka...mimi nimeongoza mpira mpaka kwenye ngazi ya kitaifa...hapo ndipo lilipo tatizo...Inaelekea hujui masuala ya gharama katika kusafirisha timu na pia inaelekea hujui katika masuala ya saikolojia ya michezo...hujui wachezaji wanachokaje kimwili wanaposafiri umbali mrefu kwa ndege...kutoka Lubumbashi kwenda kinshasa halafu Nairobi halafu Dar es Salaam...na route ya Lubumbashi (pengine kwa ndege maalum hadi Mbeya) na kuchukua basi (au hata ndege ) hadi dar es salaam...Acha analysis za kishabiki...jikite kwenye objective analysis.....Na kwa nyongeza tu inaelekea hujui route ya Lubumbashi -Kinashasa-Nairobi-Dar es Salaam unatumia saa ngapi kwa ndege---yaani hujui unakaa saa ngapi pale kinshasa kupata connection ya Nairobi..na halafu hujui pale Nairobi Airport utakaa muda gani kusubiri connection ya Dar es Salaam..na kama kwa route hiyo na kwa kuzingatia connections hizo utaweza kuwahi kufika Dar kwa wakati na kufanya mazoezi na kuzoea hali ya hewa ya Dar...Lakini pengine hufahamu kuwa Lubumbashi hadi Mbeya ni muda mfupi kabisa na gharama nafuu ukiwa na ndege maalum...yaaani unafika Mbeya na kuchukua luxury basi hadi dar es salaam..basi la watu 55 wanapanda watu 30 tu na kujinafasi ndani ya basi hadi Dar es slaam...hakuna uchovu hapo ...These are just assumptions..sina hakika kama wamechukua basi kutoka Mbeya to Dar...
Ndio maana hatupigi hatua

Very poor justification
 
Toka kagere awaingizie kichwa basi mmekuwa tu watu wa kugongwa gongwa kwa vijicent kidogo tu... Kagere huyoooooo😁😁😁😁😁
 
Jamaa aendelea kuwapotosha wachezaji wa team zinazokuja kucheza na simba.baada ya kuwadanganya Yanga wapitie mlango usio Rasmi wakapigwa Moja na Simba kwa Kagere kuingiza kichwa.

Akaja akashauri azam pia jambo hilo hilo wakapigwa tatu, akawashauri AS Vita wakapigwa Mbili moja...safari hii kawaambia TP Mazembe kuwa uchawi wa simba upo uwanja wa ndege wa DSM hivyo wasishukie hapo wakashukie Mbeya.😂😂😂

Jamaa wameenda kushuka uwanja wa Kimataifa wa Songwe ili kukwepa uchawi wa Simba pale uwanja wa ndege wa Dsm.

Yanga kwa kweli safari hii mmepata kocha mwenye vipaji vingi, ni mganga,mtabiri,msemaji wa team,mfadhilo,coach,manager na daktar wa team pia. Heko


Ayaaaaaqa,basi washafungwa,awashauri pia wasikubali kucheza kwa mchina,waende kirumba
 
Yaani kwenye mitandao na mitaani watu wanaaminishwa kila kitu kuhusu Zahera...mara amefanya hivi mara amefanya kile...ni majungu mtindo mmoja ambayo hayana mashiko wala mipaka...minong'ono isiyo na tija...
Ni kama vile wanavyomlisha maneno mzee Mugabe...
 
Kama ulikua unampinga Aden Rage kuwaita Mikia Mbumbumbu pitia vizuri huu uzi.
 
Uzi wenyewe tu wa kishabiki maandaži na wewe ukačangia kwa kishabiki maandazi sasa mimi nitawekaje pembeni? Hivi wewē unaamini kabisa kuwa kushukia kwao mbeya ni kukwepa juju?
Sio lazima sisi tukomenti kishabiki maandazi, Naona ww umeshindwa kunielewa, sawa hawajakwepa juju kama kweli wameshukia mbeya kisayansi ya soka si vizuri yaani ukashushe timu kilomita 800 huko halafu uisafirishe kwa basi, wakati kuna uwezekano wa kuishusha 0 km(ndani ya eneo mvhezo utakapopigiwa)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio lazima sisi tukomenti kishabiki maandazi, Naona ww umeshindwa kunielewa, sawa hawajakwepa juju kama kweli wameshukia mbeya kisayansi ya soka si vizuri yaani ukashushe timu kilomita 800 huko halafu uisafirishe kwa basi, wakati kuna uwezekano wa kuishusha 0 km(ndani ya eneo mvhezo utakapopigiwa)

Sent using Jamii Forums mobile app
Una uhakika gani kuwa watapanda bus?
 
Unaandika usichojijua, TP Mazembe wamekuja na ndege yao so hakukuwa na sababu ya kushukia mbeya ambapo itawagharimu zaidi ya 800km kuitafuta Dar. Unataka kutuambia usafiri wa ndege mbeya tu dar unachosha zaidi ya bus!!?? Huna unalojua.

Sent using Jamii Forums mobile app

tp mazembe wametwaa taji la champions league mara 5.. sawa sawa na barcelona.. so they know what they are doing... they have experience
 
Dah...tatizo lililopo ni kuwa kwa maelezo yako ni dhahiri haujawahi kuongoza chochote kwenye sekta ya michezo na hasa soka...mimi nimeongoza mpira mpaka kwenye ngazi ya kitaifa...hapo ndipo lilipo tatizo...Inaelekea hujui masuala ya gharama katika kusafirisha timu na pia inaelekea hujui katika masuala ya saikolojia ya michezo...hujui wachezaji wanachokaje kimwili wanaposafiri umbali mrefu kwa ndege...kutoka Lubumbashi kwenda kinshasa halafu Nairobi halafu Dar es Salaam...na route ya Lubumbashi (pengine kwa ndege maalum hadi Mbeya) na kuchukua basi (au hata ndege ) hadi dar es salaam...Acha analysis za kishabiki...jikite kwenye objective analysis.....Na kwa nyongeza tu inaelekea hujui route ya Lubumbashi -Kinashasa-Nairobi-Dar es Salaam unatumia saa ngapi kwa ndege---yaani hujui unakaa saa ngapi pale kinshasa kupata connection ya Nairobi..na halafu hujui pale Nairobi Airport utakaa muda gani kusubiri connection ya Dar es Salaam..na kama kwa route hiyo na kwa kuzingatia connections hizo utaweza kuwahi kufika Dar kwa wakati na kufanya mazoezi na kuzoea hali ya hewa ya Dar...Lakini pengine hufahamu kuwa Lubumbashi hadi Mbeya ni muda mfupi kabisa na gharama nafuu ukiwa na ndege maalum...yaaani unafika Mbeya na kuchukua luxury basi hadi dar es salaam..basi la watu 55 wanapanda watu 30 tu na kujinafasi ndani ya basi hadi Dar es slaam...hakuna uchovu hapo ...These are just assumptions..sina hakika kama wamechukua basi kutoka Mbeya to Dar...
hiyo route ya Lubumbashi-Kinshasa-Nairobi-Dar umeitoa wapi?,Timu inatoka Lubumbashi kuja Dar inafuata nini tena Kinshasa?,kama hoja yako ili base kwenye usafiri wa ndege wa Kenya airways bado route itakuwa ni Lubumbashi-Nairobi-Dar es salaam ( kumbuka Kenya airways wana ndege ya kila siku kutoka Nairobi mpaka Lubumbashi na kurudi Nairobi. Lakini TP Mazembe wamekuja na Private jet ambayo wangeweza pia kuja nayo moja kwa moja kutoka Lubumbashi mpaka Dar (safari hiyo sio ndefu sana kiasi cha kusema wachezaji wanachoka sana na safari).Kwa nini waliamua kufupisha safari yao kwa kushukia Mbeya then baadae wakaendelea na safari ya Dar wao wenyewe ndo wanajua.
 
Yaani kwenye mitandao na mitaani watu wanaaminishwa kila kitu kuhusu Zahera...mara amefanya hivi mara amefanya kile...ni majungu mtindo mmoja ambayo hayana mashiko wala mipaka...minong'ono isiyo na tija...

Huyu Zahera naye awe anajiuliza, katika makocha wote waliopo TPL kwa nini yeye ndio awe anahusiswa na vitu vya namna hii? Makocha wangapi wamepita Jangwani bila issue kama hizi? Ajitafakari
 
Back
Top Bottom