Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huu ni ushauri tu ninaokupa ndugu yangu , nafahamu ulivyochanganyikiwa na kutimuliwa Yanga kwa kutupiwa mfuko wako wa Rambo , hata mimi nakuhurumia , lakini jiangalie usije kushangaa mjini hadi uanze kutuomba nauli ya kurudi kwenu .
Mizunguko uliyoifanya kwenye vyombo vya habari inatosha sasa .
Mizunguko uliyoifanya kwenye vyombo vya habari inatosha sasa .