Zahera Mwinyi , Mayaula Mayoni alifirisiwa hadi nauli na mashangingi wa Magomeni , nenda kwenu kabla hujaanza kuomba nauli

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Huu ni ushauri tu ninaokupa ndugu yangu , nafahamu ulivyochanganyikiwa na kutimuliwa Yanga kwa kutupiwa mfuko wako wa Rambo , hata mimi nakuhurumia , lakini jiangalie usije kushangaa mjini hadi uanze kutuomba nauli ya kurudi kwenu .

Mizunguko uliyoifanya kwenye vyombo vya habari inatosha sasa .
 
Man U hawawezi mfukuza De Gea maana ni beki halafu kipa sasa Yanga wanamfukuzaje Zahera ambaye ni Kocha halafu mdhamini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…