Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Hakuna timu tajiri TanzaniaMasikini huyo na yanga yake, hukumsikia Mo dewji alivyozungumzia habari za kuongeza bajeti ya timu izidi kuwa kubwa?
Simba tunaweza kumlipa hata Messi
nyie omba omba lipeni mishahara
Simba na Azam ni timu tajiri bisha
Unajidanganya wewe unajua Serikali au unaisikia? Hata serikali ya Zimbabwe inamlipa Messi hadi anakufa.Achilia mbali Simba, hata serikali ya jiwe haina uwezo wa kumlipa Messi bila kufirisika pamoja na kudhulumu watu.
Pia afahamishwe simba ni buying club, hatuuzi kama tunakuhitaji. Mwarabu kashindwa mtoa kagere.Masikini huyo na yanga yake, hukumsikia Mo dewji alivyozungumzia habari za kuongeza bajeti ya timu izidi kuwa kubwa?
Bajeti kubwa,unavyoona itafikia ya bil 80 ya Al Ahly ya misri ?Yeye kawekeza bil 20 tu na tena ipo city bank kwenye fixed account na kwa makubaliano yeye 49% tayari na klabu kupitia wanachama wanunue hisa 51%,mpaka sasa zoezi la klabu kuuza hisa halijaanza......fikiria kwa makini hii ni biashara,anaweza kuongeza bajeti lakini sio kwa levo ya As vita na TP mazembe bado ila kama klabu itaweza na wao kutoa pesa(kuuza hisa kwa wanachama) basi baada ya miaka 10 .(Na wewe ujiandae kuwa mwana hisa sio mpiga domo).Masikini huyo na yanga yake, hukumsikia Mo dewji alivyozungumzia habari za kuongeza bajeti ya timu izidi kuwa kubwa?
Kelele za nini? Kwani kikosi cha vita na simba kipi ni gharama?Bajeti kubwa,unavyoona itafikia ya bil 80 ya Al Ahly ya misri ?Yeye kawekeza bil 20 tu na tena ipo city bank kwenye fixed account na kwa makubaliano yeye 49% tayari na klabu kupitia wanachama wanunue hisa 51%,mpaka sasa zoezi la klabu kuuza hisa halijaanza......fikiria kwa makini hii ni biashara,anaweza kuongeza bajeti lakini sio kwa levo ya As vita na TP mazembe bado ila kama klabu itaweza na wao kutoa pesa(kuuza hisa kwa wanachama) basi baada ya miaka 10 .(Na wewe ujiandae kuwa mwana hisa sio mpiga domo).
Unajidanganya wewe unajua Serikali au unaisikia? Hata serikali ya Zimbabwe inamlipa Messi hadi anakufa.
jibu unalo,Simba wana mchezaji anayelipwa million 39 kwa mwezi?Kelele za nini? Kwani kikosi cha vita na simba kipi ni gharama?
Zahera ndio reliable source yako? Zahera huyu anayesema makambo kaitwa timu ya taifa kongo?jibu unalo,Simba wana mchezaji anayelipwa million 39 kwa mwezi?
Acha kuwehuka. Hujui serikali wewe.Soma nilichoandika na jitahidi kuelewa. Kwa taarifa yako balance sheet ya Barcelona inaizidi ya Tanzania
Bajeti kubwa,unavyoona itafikia ya bil 80 ya Al Ahly ya misri ?Yeye kawekeza bil 20 tu na tena ipo city bank kwenye fixed account na kwa makubaliano yeye 49% tayari na klabu kupitia wanachama wanunue hisa 51%,mpaka sasa zoezi la klabu kuuza hisa halijaanza......fikiria kwa makini hii ni biashara,anaweza kuongeza bajeti lakini sio kwa levo ya As vita na TP mazembe bado ila kama klabu itaweza na wao kutoa pesa(kuuza hisa kwa wanachama) basi baada ya miaka 10 .(Na wewe ujiandae kuwa mwana hisa sio mpiga domo).