Zahir Zorro ni dini gani?

Zahir Zorro ni dini gani?

Hizo kamba kawapige vilaza wenzako, kwenye hizo jamii tunaishi nao. Huyu mke wako hatoki familia ya kiislam ile pure, yaan yy asome madrasa, na baba yake awe anaswali swala 5 pamoja na kaka zake. Acha hizo kamba.
Huyo mke wako lazma tu ametoka familia yenye mchanganyiko wa hizo dini na 100% ni mtoto wa nje ya ndoa.
Wewe ndiyo kilaza tena very stupid kilaza, unadhani kila mtu anaishi kwa flow uliyokariri. Kuna watu independent na wanaojiamini, siwezi kukulaumu kwani kwanza sidhani kama una exposure na kama umewahi kuwa na mahusiano na mwanamke aliye totally independent kwa maana ya kifikra na kimaamuzi.
Kwa mwanamke anayetegemea familia yake najua hawezi kujiamulia lakini mwanamke anayejitegemea na anayeweza kusafiri kuishi overseas mwenyewe na akakutana na mtu akamuelewa mtofautishe na hoa majirani zako wa Mwananyamala kwenu huko.
Uzuri hizi arguments hukufungua mtu kuelewa upeo wa akili, elimu na exposure ya unaye-argue naye.
 
Wewe ndiyo kilaza tena very stupid kilaza, unadhani kila mtu anaishi kwa flow uliyokariri. Kuna watu independent na wanaojiamini, siwezi kukulaumu kwani kwanza sidhani kama una exposure na kama umewahi kuwa na mahusiano na mwanamke aliye totally independent kwa maana ya kifikra na kimaamuzi.
Kwa mwanamke anayetegemea familia yake najua hawezi kujiamulia lakini mwanamke anayejitegemea na anayeweza kusafiri kuishi overseas mwenyewe na akakutana na mtu akamuelewa mtofautishe na hoa majirani zako wa Mwananyamala kwenu huko.
Uzuri hizi arguments hukufungua mtu kuelewa upeo wa akili, elimu na exposure ya unaye-argue naye.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] utakuja kwenye njia tu mdogo mdogo. Huyo ni mtoto wa nje ya ndoa 100% na upande mmoja ni wakristo yaan kama mama yake ni muislam basi alibadili dini kutoka ukristo, lkn wajomba zake, mama zake wadogo nk ni wakristo.
Kwa tulioshi maeneo hayo tunajua ukweli.

Kuhusu exposure sijui utaniambia nini maana niko mbali mno na hizo mambo kuanzia Shule, na kuzunguka dunia hii.

Hzi kamba wapige wajinga wenzako, eti mtoto wa muislam tena SWALA 5 umbadili wewe dini, tena waislam wale wanaoswali karibu familia nzima.

Kwenye Uislam mtoto wa kike hata awe na pesa vipi hajiamulii vitu kama ndoa, maana ridhaa hutoka kwa baba yake, kaka, au ndugu yake wa kiume.

Sio rahisi unavyowaongopa watu. Watu hapa wakileta ushahidi utaelewa nachosema.
Hakuna watu wagumu kuwabadili dini kama waislam. Na kama hakuna hizo sababu mbili hapo juu huwezi mbadili. Wale watu wanaheshimu dini sijawahi kuona, kwenye kabila hawana shida kabisa ila kwenye dini heheheh mtaachana.

Cc FaizaFoxy
 
Lete ushahidi scha kupiga fix

Halafu siku hizi ubalitaja sana jina YESU ,sijaona ukitaja jina la issa bin mariamu.

Hakika kila Taifa watalitaja jina.

NB YESU na issa bin mariamu ni watu wawili tofauti.
Hii pia unataka ushahidi??? Kweli ww hamnazo.
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] utakuja kwenye njia tu mdogo mdogo. Huyo ni mtoto wa nje ya ndoa 100% na upande mmoja ni wakristo yaan kama mama yake ni muislam basi alibadili dini kutoka ukristo, lkn wajomba zake, mama zake wadogo nk ni wakristo.
Kwa tulioshi maeneo hayo tunajua ukweli.

Kuhusu exposure sijui utaniambia nini maana niko mbali mno na hizo mambo kuanzia Shule, na kuzunguka dunia hii.

Hzi kamba wapige wajinga wenzako, eti mtoto wa muislam tena SWALA 5 umbadili wewe dini, tena waislam wale wanaoswali karibu familia nzima.

Kwenye Uislam mtoto wa kike hata awe na pesa vipi hajiamulii vitu kama ndoa, maana ridhaa hutoka kwa baba yake, kaka, au ndugu yake wa kiume.

Sio rahisi unavyowaongopa watu. Watu hapa wakileta ushahidi utaelewa nachosema.
Hakuna watu wagumu kuwabadili dini kama waislam. Na kama hakuna hizo sababu mbili hapo juu huwezi mbadili. Wale watu wanaheshimu dini sijawahi kuona, kwenye kabila hawana shida kabisa ila kwenye dini heheheh mtaachana.

Cc FaizaFoxy
If you're expecting more umefeli, tulikutana 'mbali' na tukaanzisha familia. I didn't force her bali aliamua mwenyewe na huwa anarudi kwao bila shida yoyote, mimi si mtu wa kwenda kanisani(it's been years) lakini yeye humwambii kitu.
Sihitaji uamini so let's leave it.
 
Unasifia upumbavu wa baba yako?? Yaan mzee asiyeweza kumjengea misingi imara ya kidini mtoto wake wewe ndio unamuona wa maana??
Kwa hiyo mtu mzima anayeishi maisha yake binafsi unataka baba yake aendelee kuyadhibiti maisha yake!? Yeye atabaki mshauri tu, ila maamuzi ni ya mtu binafsi.

Wakati niko shule ya msingi miaka hiyo, kuna mwanafunzi mmoja wazee wake walibadili dini. Yule mwanafunzi na yeye aliungana na wazazi wake kubadili ila akasema kaka yake mkubwa aliyekuwa sekondari hakubadili na wazee wake wala hawakumlazimisha.

Je, wewe wazazi wako wakibadili dini na wewe utabadili kufata imani yao mpya!?
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] utakuja kwenye njia tu mdogo mdogo. Huyo ni mtoto wa nje ya ndoa 100% na upande mmoja ni wakristo yaan kama mama yake ni muislam basi alibadili dini kutoka ukristo, lkn wajomba zake, mama zake wadogo nk ni wakristo.
Kwa tulioshi maeneo hayo tunajua ukweli.

Kuhusu exposure sijui utaniambia nini maana niko mbali mno na hizo mambo kuanzia Shule, na kuzunguka dunia hii.

Hzi kamba wapige wajinga wenzako, eti mtoto wa muislam tena SWALA 5 umbadili wewe dini, tena waislam wale wanaoswali karibu familia nzima.

Kwenye Uislam mtoto wa kike hata awe na pesa vipi hajiamulii vitu kama ndoa, maana ridhaa hutoka kwa baba yake, kaka, au ndugu yake wa kiume.

Sio rahisi unavyowaongopa watu. Watu hapa wakileta ushahidi utaelewa nachosema.
Hakuna watu wagumu kuwabadili dini kama waislam. Na kama hakuna hizo sababu mbili hapo juu huwezi mbadili. Wale watu wanaheshimu dini sijawahi kuona, kwenye kabila hawana shida kabisa ila kwenye dini heheheh mtaachana.

Cc FaizaFoxy
"Wale watu wanaheshimu dini"!? Wewe umejitoa hapo, kwani wewe si mmoja wao?
 
Lete ushahidi scha kupiga fix

Halafu siku hizi ubalitaja sana jina YESU ,sijaona ukitaja jina la issa bin mariamu.

Hakika kila Taifa watalitaja jina.

NB YESU na issa bin mariamu ni watu wawili tofauti.
Ingia kanisa katoliki lolote utaona sanamu au picha yake. Au jifunze ku google tu mtandaoni.
 
66:1- Ewe Nabii! Kwa nini unaharimisha alicho kuhalilishia Mwenyezi Mungu? Unatafuta kuwaridhi wake zako. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.
Swali

(1) waislam ni kosa gani mohamadi alifanya mpaka allah akaanza kumlaumu?
2)tutajieni vitu alivyo haramisha mohamadi wakati Allah alihalalisha
(3)mpaka hapo bado mnaamini Mohammad ni mtume?
Tuambie wewe
Tutaamini mpaka siku ya malipo.
Kama hauamini kamuulize Dr.Keith L.Moore ni mkiristo kama wewe aliacha usia kuhusu nabii Muhammad kama ni mtume wa kweli .
QURAN ILIANDIKWA NA WALEVI NA WANYWAJI POMBE NA HAO WALEVI WALIKUWA WAMEKALILI QUR'AN HUKU WAKIWA WAMELEWA CHAKALI NA WENGINE WALIKUFA KWA ULEVI WAANDISHI WA MUHAMMAD
SWALI AYA ZIPI ZILIANDIKWA MASWAHABA WAKIWA HAWAJALEWA POMBE KATIKA SURA 114 ZA QUR-AN YENU?

✔
Quran 5:93. Si dhambi juu ya walio amini na wakatenda mema kwa walivyo vila (zamani) maadamu wakichamngu na wakiamini na wakitenda mema, kisha wakachamngu, na wakaamini, kisha wakachamngu na wakafanya mazuri. Na Mwenyezi Mungu huwapenda wafanyao mazuri
Aya ya 5:93 Aya hizi za kukataza ulevi Kwa kashididi hii hizi zimeteremka mwaka wa sita wa Al-hijira baada ya kuwa maswahaba wengi WAMEKUFA na hali ya kuwa WAKILEWA POMBE. Basi maswahaba wengi wenziwao wakawahofia nini itakuwa hali yao siku ya Kiyama [TAFASIRI YA ABDULLAH SALEH AL-FARSY ]
Ukiwa mkristo kama wewe ni balaa....ulidai qur an ni uchawi nikaweka aya uliyoitafsiri kikafiri kiuongo,umekimbilia tena kwenye pombe aisee,wewe ni hasara kwa wazazi wako,elewa kuwa UISLAMU Ulikuwa ukataza mambo ya haramu kidogo kidogo yaliyokuwa yakifanywa na watu wa Makka na Madina ,uislamu ulikuta mila na desturi za waarabu ambazo zilikuwa haramu katika uislamu kwa hiyo walikatazwa taratibu aya zilikuwa zinashuka kuweka uzito zaidi kwa aya za makatazo zilizotangulia mpaka kufika kuwa sheria kitu flani ni haramu mfano hiyo pombe watu waliishi kwa kutegemea kuuza pombe ili kukidhi mahitaji yao ya kimaisha,sasa pombe iliondolewa taratibu mpaka ika ja kuwa haramu,Wapi umewahi kusikia kiongozi au msomi wa dini ya kiislamu anasema waislamu wanywe pombe kwa kuwa waandishi wake walikuwa wamelewa?

Aya za Qur an sio kama vitabu vya kutunga kwamba utabuni buni mambo kisha uwaletee watu wayaamini,kipindi inashuka Qur an hakukuwa na mtu aliyehusika kuiandika....ajabu ya kitabu cha Qur an inahifadhiwa kichwani,Mtume alishusiwa aya za qur an hakuwa na daftari wala kalamu,aliyeikusanya qur an na kuiweka katika mfumo wa kitabu ni kiongozi wa tatu baada ya mtume s.a.w Athman bin khatwab Allah amuuwie radhi mtume hakuwepo,sasa hayo makatazo ya pombe yalikuwa yalishapita na ilishakuwa pombe ni haramu kwa waislam wote.
 
k
فَوَيْلٌ لِلَّذِينَ يَكْتُبُونَ الْكِتَابَ بِأَيْدِيهِمْ ثُمَّ يَقُولُونَ هَٰذَا مِنْ عِنْدِ اللَّهِ لِيَشْتَرُوا بِهِ ثَمَنًا قَلِيلًا ۖ فَوَيْلٌ لَهُمْ مِمَّا كَتَبَتْ أَيْدِيهِمْ وَوَيْلٌ لَهُمْ مِمَّا يَكْسِبُونَ
Basi ole wao wanao andika kitabu kwa mikono yao, kisha wakasema: Hiki kimetoka kwa Mwenyezi Mungu, ili wachumie kwacho pato dogo. Basi ole wao kwa yale iliyo andika mikono yao, na ole wao kwa yale wanayo yachuma.

Allah hakushusha kitabu cha makaratasi na hapa anatoa onyo Kali waandishi wa Quran ya makaratasi ni kwasababu Quran ya makaratasi ni uchawi ( Quran 6:7)
aise! karatasi wapi imetajwa kijana?
Qur an yote imeshuka kipindi cha mtume,imekusanywa kuwa kitabu baada ya mtume
 
Back
Top Bottom