Zaidi ya 80% ya maroli yanayorudi Dar hurudi tupu

Zaidi ya 80% ya maroli yanayorudi Dar hurudi tupu

eddy

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2007
Posts
16,054
Reaction score
11,568
Ni mekuwa najiuliza hii misururu mirefu ya maroli yanayorudi Dar ikiwa tupu na mingine kubebana miwili, hivi hatuna bidhaa za kupeleka bandarini? hatuna marobota ya pamba katani kahawa mahindi alizeti mashudu? ni kweli hatuna bidhaa za kuuza nje ya nchi? sie tumekuwa soko la bidhaa za nje tu?

Naimani haya maroli yalienda mikoani yakiwa na bidhaa kufika huko yalikosa mzigo wa kuridi nao hivyo kuamua kurudi tupu na mengine kubebana kama panzi.

Nilitegemea maroli yatoke tupu Dar yafuate mzigo mikoani, yafuate ngozi pamba katani mashudu ng'ombe. Kama uchumi wetu ni kuagiza tu sie tunauza nini? trade balance yetu ikoje? Raisi anatoa wapi fedha za kigeni kukidhi mahemezi yetu?
 
mizigo ipo sema contena lina time limit ya kutoka bandari hdi siku ya kurudi...ukichelewesha contena ulilolitoa bandarini unapgwa faini so usione gar ipo na contena tupu ukazani kakosa mzgo si kweli sema wanakimbizana na muda
 
Ngojea nikujibu haraka kwanza unakaa wapi?
Lorry tupu inategemea na njia ukienda Rwanda, Kenya, Uganda utarudi tupu lkn ukienda Malawi, Congo drc, Zambia huko njia hizo hauwezi kurudi tupu unakwenda na nundu unarudi na nundu yaani njia ya dar - mbeya huko huji kukuta gari zimebebana labda za ajali yaani hilo jambo sahau! Like these two weeks ukitaka lorry ww piga hesabu ya week mbele yaani zote zimejaa Kuna mizigo balaa!
 
Zamani enzi za Awamu ya 4 Malori asilimia kubwa yalikuwa ni ya Watanzania baada kuingia Awamu ya Punguwani akawahimiza ndugu zake waHutu waongeze Malori sasa hivi unakuta Lori la Burundi limebeba Mkaa wa Tanzania tani 30 kuja kuumwaga Dar kwa bei poa Malori yetu yamekosa kazi.
 
mizigo ipo sema contena lina time limit ya kutoka bandari hdi siku ya kurudi...ukichelewesha contena ulilolitoa bandarini unapgwa faini so usione gar ipo na contena tupu ukazani kakosa mzgo si kweli sema wanakimbizana na muda
haya maroli yaliyobebana mawili mawili hayana containers ni flat beds
 
Zamani enzi za Awamu ya 4 Malori asilimia kubwa yalikuwa ni ya Watanzania baada kuingia Awamu ya Punguwani akawahimiza ndugu zake waHutu waongeze Malori sasa hivi unakuta Lori la Burundi limebeba Mkaa wa Tanzania tani 30 kuja kuumwaga Dar kwa bei poa Malori yetu yamekosa kazi.
nimeyaona na ya rwanda burundi yakiwa tupu
 
Ngojea nikujibu haraka kwanza unakaa wapi?
Lorry tupu inategemea na njia ukienda Rwanda, Kenya, Uganda utarudi tupu lkn ukienda Malawi, Congo drc, Zambia huko njia hizo hauwezi kurudi tupu unakwenda na nundu unarudi na nundu yaani njia ya dar - mbeya huko huji kukuta gari zimebebana labda za ajali yaani hilo jambo sahau! Like these two weeks ukitaka lorry ww piga hesabu ya week mbele yaani zote zimejaa Kuna mizigo balaa!
yanayotoka kanda ya ziwa mengi yao yanarudi tupu
 
Hayo walifanya wakoloni. Sisi uzalishaji ulikufa
 
Hayo walifanya wakoloni. Sisi uzalishaji ulikufa
 
Zamani enzi za Awamu ya 4 Malori asilimia kubwa yalikuwa ni ya Watanzania baada kuingia Awamu ya Punguwani akawahimiza ndugu zake waHutu waongeze Malori sasa hivi unakuta Lori la Burundi limebeba Mkaa wa Tanzania tani 30 kuja kuumwaga Dar kwa bei poa Malori yetu yamekosa kazi.
duh, mzee nae alizingua kumbe
 
Umasikini siyo jambo la kuondoka kwa muda mfupi au kwa sababu ya matamanio tu, yahitajika juhudi na mabadiliko ya fikra na utendaji, kuanzia kwa wakulima hadi wazalishaji wa viwandani.
Bidhaa nyingi zinazosafirishwa ni za kutoka nje (imported) na kidogo kwenda nje (export).
Ndani ya nchi na hata kwa majirani hata chakula Cha kusafirisha hakuna (wapi mashamba makubwa?).
Usafirishaji lazima uwe wa uelekeo mmoja kwa hali hii.
 
Zamani enzi za Awamu ya 4 Malori asilimia kubwa yalikuwa ni ya Watanzania baada kuingia Awamu ya Punguwani akawahimiza ndugu zake waHutu waongeze Malori sasa hivi unakuta Lori la Burundi limebeba Mkaa wa Tanzania tani 30 kuja kuumwaga Dar kwa bei poa Malori yetu yamekosa kazi.
Nasikia wabongo wengi malori wameyakimbiza Zambia ,Zimbabwe ,Malawi na Congo , wengine wameenda Hadi South Africa , biashara zimedoda hapa na pia kipibdi like cha vurugu za kukamatana na kutekana Kwa visingizio vya uhujumu uchumi
 
Unamuamini huyo punga?
We naye ni choko Sana halafu nimekuobserve muda mwingi we ni K flani uliyekuwa unsimba mapambio humu kumsifia Yule bwege wenu , kuna mawili , either wewe ni mpumbav usiyejua jinsi Yule kunguni alivyoharibu Huu uchumi WA nchi au unajua Ila inajifanya Fala kuna kuandika comments za kimatacle humu K wewe
 
Back
Top Bottom