Zaidi ya chips mayai na limbwata ni kitu gani kingine kimegunduliwa Bongo

Zaidi ya chips mayai na limbwata ni kitu gani kingine kimegunduliwa Bongo

Chips mayai kwani hazipo ulaya ?
Mi najua chips zimeanzia ufaransa ndio maana zinaitwa french flies

Hakuna chips mayai nchi za ulaya mkuu sijui kwingineko duniani, had a friends from Europe wallahi walikuwa wakishangaa sana "zege" na walikuwa wakienjoy sana nikiwapeleka vijiwe vya zege, wengi walikili hawakuwahi kuexperience kitu kama hiko before.
 
Hakuna chips mayai nchi za ulaya mkuu sijui kwingineko duniani, had a friends from Europe wallahi walikuwa wakishangaa sana "zege" na walikuwa wakienjoy sana nikiwapeleka vijiwe vya zege, wengi walikili hawakuwahi kuexperience kitu kama hiko before.
Duh kumbe bongo raha sana
Sa wao utamu wa zege hawaujui.
Mkuu kumbe kuna uwezekano vyakula vingi tunavyokula huku wao hawavijui na pia vyao vingi hatuvijui ?
 
Nzi wa kifaransa.
Tatizo la uandishi mkuu
Screenshot_2018-10-08-23-24-34.jpg
 
Duh kumbe bongo raha sana
Sa wao utamu wa zege hawaujui.
Mkuu kumbe kuna uwezekano vyakula vingi tunavyokula huku wao hawavijui na pia vyao vingi hatuvijui ?

Kabisa mkuu, na hii inaweza kuwa fursa hasa kwa wenzetu wanaoishi Huko Duniani, kuna madogo wapo wanasoma China [emoji630], wao walipata idea ya kuanzisha "goli" la zege huko asee wachina wamezichangamkia sanaaa.
 
Back
Top Bottom