Zaidi ya chips mayai na limbwata ni kitu gani kingine kimegunduliwa Bongo

Zaidi ya chips mayai na limbwata ni kitu gani kingine kimegunduliwa Bongo

Kuuliza sio ujinga.
Naomba tuorodheshe vitu vilivyogunduliwa Bongo.
Zongo
Chabo
Juhudi
Singeli
Uzwazwa
Vigodoro

Na[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]
IMG-20181008-WA0006.jpeg
 
Kwa hiyo product ya limbwata, chips mayai, lebel yake imeandikwa made in Tanzania???.
 
Bongo tumegundua kuwa mtu anaweza kupigwa risasi 30 na bado asife ...
 
Back
Top Bottom