ZongoKuuliza sio ujinga.
Naomba tuorodheshe vitu vilivyogunduliwa Bongo.
Hata jina lake ni la kigeni, Kenya ziko kibaoHalf cake. Toka nitembee duniani sijakutana na hall cake zaidi ya Tanzania. View attachment 891289
A.k.a tegoTanga kuna Usinga. Ukitembea na mke wa mtu kama amewekewa Usinga unaweza kufa au utapata tabu sana.