Zaidi ya KM 2000 za barabara kuanza kujengwa kwa mtindo wa EPC +F. Serikali yasema hazitalipiwa Tozo

Un
Rudia kusoma.utaelewa

nilichokigundua hapa Kuna mtu anataka amfunike mwendazake Ila mbinu anazotumia nyingi Ni kuongeza Deni na kupigwa Ni mwingi, usimamizi Ni finyu sana watu wanajifanyia TU.
 
Un



nilichokigundua hapa Kuna mtu anataka amfunike mwendazake Ila mbinu anazotumia nyingi Ni kuongeza Deni na kupigwa Ni mwingi, usimamizi Ni finyu sana watu wanajifanyia TU.
Una ufinyu wa akili sana,kama ni kumfunika ameshafaulu Hadi Sasa..

Lini deni lilipungua bila kuongezeka?
 
Kama ni hivyo Mama apewe Maua yake maana tuliaminishwa NZIRANKENDE JIKONO JANDAMA alijenga mtandao mkubwa sana wa Lami mpaka akawa anazindua tena barabara zilizojengwa na JARCARHIRE KEYQWERTY.
Upuuzi wa waimba pambio wake,labda nyie ambao hamtembei hii Tanzania ndio mtalishwa propaganda mkaelewa..

Mwendazake hakuungamisha Mkoa hata mmja Kwa lami Toka alivyopokea Kwa JK ,kama ulikuwa hujui.
 
Kamfunika kwenye upumbavu gani.
Kamfunika kwenye upumbavu ufuatao
Kilimo Bajeti mara 3

Elimu Bure Hadi vyuo vya kati,mikopo Kwa wote kuanzia vyuo Vikuu Hadi Hadi diploma bila kusahau boom ni elfu 10,

Kamfunika kwenye Barabara

Kamfunika kwenye majumba saizi NHC inafanya kazi ilikufa

Kamfunika kwenye Demokrasia

Kamfunika kwenye Ajira na
Kamfunika Kwenye Uchumi

Kiufupi kamfunika Kila mahala unapojua wewe yule bwana visingizio
Sikiliza hii video
 
Mbona hutaji reli ,,madaraja ,meli ,bwawa la umeme
 
Mbona hutaji reli ,,madaraja ,meli ,bwawa la umeme
Haivyo ndio vitu pakee Mwendazake alijaribu huku alitoa vinginevyo lukuki 😂😂

Kati Yaa vyote hakuna alichokamlisha na Samia anatekeleza vyote at par..

Kutaja Madaraja ni ujinga maana hakuna siku Madaraja yataisha kujengwa Nchi hii hata Sasa Madaraja kibao mapya yanajengwa..
 
Yule mwingine alikuwa ni mjinga mmja tuu,ujue Kila siku nawaambia Wajamaa ni watu wapumbavu sana Mkiwa entertain mtaishia kuwa maskini milele.
Kwanini neno uongo halikuwekwa katka ilani ya chama chenu? Huyo 'mjinga mmoja' unayemtaja hapo bila yeye mngekuwa historia maana alipoona yaliyojiri 2015 akataifisha uchaguzi 2020 matokeo yakafanywa kuwa kijani tupu.
Hapo ulipoandika wajamaa weka CCM
'kanzu mpya lakini shekhe ni yuleyule' kazi ni kuhesabu awamu
 
Huwezi kuuza bandari halafu ukajificha kwenye ujenzi wa barabara.
Bandari haijauzwa ila huo Mkataba wa IGA una mapungufu mengi yanayoashiria umetengenezwa kwa nia ovu ya ufisadi.

Hata mikataba hiyo ya ujenzi, kwa EPC+F, ina harufu ya ufisadi kwa kuwa naamini hatuna sheria inayosimamia aina hiyo ya mikataba
 
Hata mikataba hiyo ya ujenzi kwa EPC+F ina harufu ya ufisadi kwa kuwa naamini hatuna sheria inayosimamia aina hiyo ya mikataba
Ona zoba hili ,usiwe unaropoka kama huna taarifa,sheria za ppp ziko Toka 2010
 
Wapi Geita-Kahama hii barabara haina wa kuisemea ndiyo barabara mbovu kuliko barabara zote Tanzania kwa misimu yote!

Hizo barabara zilizosainiwa naona ni kanda ya kati, kaskazini, na Nyanda za juu
Nyie wa lake zone mtasubiri sana.
 
Wapi Geita-Kahama hii barabara haina wa kuisemea ndiyo barabara mbovu kuliko barabara zote Tanzania kwa misimu yote!

Hizo barabara zilizosainiwa naona ni kanda ya kati, kaskazini, na Nyanda za juu
Nyie wa lake zone mtasubiri sana.
Imeshaanza ujenzi Mbona? Serikali inashirikiana na Mgodi kuijenga.
 
Ona zoba hili ,usiwe unaropoka kama huna taarifa,sheria za ppp ziko Toka 2010
Unategemea maelezo hasi kutoka kwa wahusika (TanRoads) na hiyo mikataba?

Hoja yangu yahusu sheria ya kusimamia EPC+F na si PPP. Wewe wasema ipo toka 2010, nijuze, maana hata sheria ya manunuzi ina mapungufu yaliyohitaji kurekebishwa (soma kiambatanisho)View attachment TPJ Vol IX edition No19.pdf
 
Wewe unachobisha ni kipi hasa? Si umeulizia sheria au?
Pili juzi hujaona pia sheria hiyo hiyo imeenda kufanyiwa marekebisho Bungeni au? Mbona mna shida sana vichwani kuelewa nyie?
 
Imeshaanza ujenzi Mbona? Serikali inashirikiana na Mgodi kuijenga.
Wameanzia wapi kujenga?!

Hadi leo barabara haipitiki Gari za Geita Kahama zinalazimika kuzunguka Nyarugusu za kwenda mikoa ya kati kaskazini na dar hadi zinalazimika kuzunguka mwanza

Achana na matamshi ya kisiasa
 
Duh! wewe mweu aliyeanzisha elimu Bila malipo unamjua wewe, baada ya Nyerere, JPM ndiye aliyesema elimu mpaka kidato cha NNE bure serikali itagharamia, mama yako anaendeleza TU.

Bajeti ya kilimo kufika hapo mama anaendeleza TU, Kwa kuwa JPM alishaanza Kwa kuifanya wizara iwe inajitegemea na alisema kwamba miaka ijayo bajeti ya kilimo itapanda Kwa Sababu 70% ya watanzania wanategemea kilimo, na ndiye aliyemteua bashe kwamba akatekeleze kile anachokizungumza bungeni Ni Kwa vile KIFO kilimkuta hakufanikiwa kukamilisha ndogo yake.

Barabara pia Ni kama unajitekenya yeye Yuko kwenye wizara miaka 20 barabara zote na madaraja yote makubwa yamejengwa na kusimamiwa na JPM Leo hii mnapita juu pale ubungo na sehemu nyingine mnazoendeleza kujenga Ni mitazamo yake kwamba tuko nyuma tubadilike Mzee Wa maamuzi magumu.


Mambo ya nyumba za NHC yeye alisisitiza Kwanza kwamba makusanyo ya nyumba hizo zinaliwa,mtu anakodisha nyumba Kwa mkodishwaji unakuta NHC wanalipwa laki moja alafu Yule mtu kati anachukia millioni,yeye alitaka akomeshe Kwanza ufisadi WA Kodi na miladi hewa na Ile ya isiyo na tija, kama mama yako anaendeleza ujue Kuna mtu kasafisha ndio maana mapato ya NHC yalipanda Kwa Sababu hapakuwa na madalali.


Demokrasia hipi haikuwepo mbona mkutano ilikuwa inaruhusiwa kwenye majimbo na ujue kwamba democracy Ni Jambo la ufahamu TU katiba inajieleza Ni uoga WA upinzani ,Kuna kijana alitaka kuandamana jumatatu amepewa onyo je? Nayo Ni democracy iyo unayoisema.

Ajila zinatolewa Kwa Sababu Ni wajibu WA serikali kuajili,lakini pia uelewe kuwa tofauti Ni viwango vya uajili TU lakini hata JPM aliajili na Sababu KUBWA alisema aondoe Kwanza vyeti feki na wafanyakazi hewa yeye ndiye aliyeweka mfumo Bora WA kutambua watumishi ili kuondoa udanganyifu na kupoteza pesa, hivyo Ni mwendelezo.


Kipindi cha JPM ndipo bank ya dunia ilisema Tanzania tumeingia uchumi WA kati, uchumi Ni suala pana unaweza ukawa unaona pesa IPO mfukoni lakini ikakosa thamani kama sasa elfu Kumi inapata kilo 3 za Mchele,NK;lakini kipindi kile Ni kilo Saba unaweza kulinganisha,kwenye bidhaa nyingine Leo kila kitu kipo juu Hadi JoJo.

Kifupi Ni kwamba anataka aonyeshe kuwa anaweza Ila Ni vizuri Ila afanye na afuatilie hasiache maagizo mlangoni watu wanatumbua pesa sana, pesa alizokopa angekuwa JPM ingekuwa Ni hatari alafu JPM mitazamo yake alitaka tujitosheleze Kwa kila Kwa kuwa ndio MSINGI imara WA nchi huru.
 
Ona fala hili,Mkapa ndio alianza kufuta ada ya primary,JK alifuta ada ya day na kupunguza ya Sekondari, Mwendazake akafuta ya Sekondari,Samia amefuta Hadi form six,na vyuo vya Ufundi vya Serikali na mikopo Hadi Diploma na boom la elfu 10 Juu.

Fala wewe , Mwendazake alipunguza Bajeti ya Kilimo akahamishia hela Nishati na Ujenzi mama mwaka wa kwenda tuu katoa Bajeti kutoka bil.290 Sasa ni bil.970 2023/24..

Ona unavyoleta excuses kama yule yule failure wako,NHC ilikufa nyumba zote zilisimama kuanzia Kigamboni,Morocco square Hadi Kakakuona Tower poster,sekta ya real estates ilikufa kama zilivhokufa sekta zingine mama kafufua Mjini kunachangamka.

Kama Ajira ni wajibu wa Serikali Kwa nini Mwendazake alishindwa kuajiri akasomamisha Ajira,akaua mashirika ya pensio,akatuongezea makato ya Bodi,wizi wa retention fee na upuuzi mwingine kama huo? Hana akili ndio jibu rahisi.

Hakuna mikutano yeyote ikifanyika,Mungu mtu akikosolewa unakula risasi na ushenzi mwingine kama huo Kama watu wasiojulikana kuteka Wapinzani wa Serikali

Mazao yoote yaliporomoka bei Hadi kuficha aibu Kwa eti jeshi kununua korosho 🤣🤣🤣🤣

Mwisho;Wajamaa na ujamaa ni upumbavu na umaskini wa akili Hadi Mali, propaganda na Vitisho ndio mnachoweza.
 
Wameanzia wapi kujenga?!

Hadi leo barabara haipitiki Gari za Geita Kahama zinalazimika kuzunguka Nyarugusu za kwenda mikoa ya kati kaskazini na dar hadi zinalazimika kuzunguka mwanza

Achana na matamshi ya kisiasa
Wako kwenye mobilisation
 
Upuuzi wa waimba pambio wake,labda nyie ambao hamtembei hii Tanzania ndio mtalishwa propaganda mkaelewa..

Mwendazake hakuungamisha Mkoa hata mmja Kwa lami Toka alivyopokea Kwa JK ,kama ulikuwa hujui.

Aiseee Noma kweli kweli ,kumbe alitulisha matango pori kwa kutu brainwash na Busisi,Tanzanite,SGR na Nyerere Hydro 😳 😳 huku barabara nei......Mimi nilijua Mtandao wa barabara alimaliza kama wazee wa legasi walivyokuwa wanampamba.
 
Aiseee Noma kweli kweli ,kumbe alitulisha matango pori kwa kutu brainwash na Busisi,Tanzanite,SGR na Nyerere Hydro 😳 😳 huku barabara nei......Mimi nilijua Mtandao wa barabara alimaliza kama wazee wa legasi walivyokuwa wanampamba.
Ambae anabisha anitajie Barabara ya Mkoa na Mkoa hata Moja iliyojengwa

Sana sana ajenga huyo tu flyover hapo Dar,daraja la Tanzanite nothing else,kama ni BRT alikuta inaendelea ,DMDP 1 alikuta imeanza.

Miaka 5 miradi Mingi haikukamilika na Mingi anaimalizia Samia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…