Zaidi ya KM 2000 za barabara kuanza kujengwa kwa mtindo wa EPC +F. Serikali yasema hazitalipiwa Tozo

Mipango ya. barabara hizi,, mboma huwa atuoniipango ya batabara za Mkoa wa Kagera - hata vituo vikumbwa vya mabasi huwa havipo kwenye mipango ya Serikali je,hii ni nahati mbaya au kuna mikakati ambayo wana Kagera hatuijui - aingii akilini kwba karibu mikoa yote inakarabatiwa barabara zake save Mkoa wa Kagera!!! Strange don't you think??
 
Sasa serikali inapaswa kutafuta hela ili kuongeza lane moja kushoto mwa bara bara ya Dar mpaka Moro ili kupunguza msongamano na ajali.
magari yanayotoka Dar huwa mara nyingi yamebeba mizigo mizito hivyo kwenda taratibu na kufanya kuwa vigumu ku over take.
Kuongezeka kwa lane moja itachangia kupungua kwa kadhia hizi.
 
Utumiaji wa hizi barabara hautalipiwa sasa hawa Wachina wametupa msaada? Au ndio wameshapewa Selous wachimbe uranium yetu bure? Wenye access na hiyo mikataba embu someni mtufafanulie vizuri!!!
 
Tanzania tunahitaji Km ngapi za barabara za la lami ili maeneo yote ya nchi yaunganishwe na barabara za lami??
Barabara haziwezi kuisha Leo Wala kesho.

Kama Hadi Leo hii Mikoa na Mikoa Bado ,hapo Bado Wilaya na Wilaya na Bado kutoboa Barabara Mpya .

Ni zaidi ya km 200,000 walau ndio zinaweza leta unafua za TanRoads na Tarura
 
Utumiaji wa hizi barabara hautalipiwa sasa hawa Wachina wametupa msaada? Au ndio wameshapewa Selous wachimbe uranium yetu bure? Wenye access na hiyo mikataba embu someni mtufafanulie vizuri!!!
Kama Mbarawa Yuko kwenye hayo madili, mhhhh
Let's wait and see.
Unavyoona wewe ni sawa kabisa ndio hivyo hivyo
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…