Doctor Ngariba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2020
- 588
- 951
Bila kusahau style yake pekee ya uwasilishaji ambao humfanya hadhira asikilize neno kwa nenoHata mimi napenda sana kuangalia mahojiano ya Lissu, nafurahia namna anavyojibu maswali kwa ufafanuzi wa kina. Huwezi kubaki na maswali kwa anayoyaengelea.
Hahaha Lissu anatakiwa apewe TV yake awe anahutubia wananchi kila siku..Masudi Kipanya alimhoji Lissu kuanzia kuanzia wakati wa breakfast. Kwa kuvutiwa na elimu na madini aliyokuwa akichota Masudi akakaa mpaka muda lunch ukakaribia.
Lazima u play back ikitokea kuna mtu kakuita wakati unasikiliza hutakubali Sekunde ikupiteBila kusahau style yake pekee ya uwasilishaji ambao humfanya hadhira asikilize neno kwa neno
Wajumbe wa mkutano mkuu wasipompitisha Lisu watakuwa wamefanya kosa kubwa sana litakalowagarimu kukusanya wanachama wapya.Na ndiye mwenyekiti ajaye wa Chadema.
WAtampitisha lakini Wale Mashetani wana nguvuWajumbe wa mkutano mkuu wasipompitisha Lisu watakuwa wamefanya kosa kubwa sana litakalowagarimu kukusanya wanachama wapya.
here I am and here I stand..mimi nimetumia headphones nimesikia kila kitu.
..pia kuna kipande kingine kidogo hapa.
View: https://www.youtube.com/watch?v=xi56ArhiZqE
Daah I Wish Ningekuwa Namsikiaa 😭, Unaweza Kuweka Mahojiano Yake kwa Maandishi Nami Nielewe Kinachosemwa.....ucheshi na mizaha ya Tundu Lissu humfanya muandishi kujisikia huru kuuliza maswali.
..ukiacha hilo hakuna muandishi ambaye hutoka bila kujifunza jambo jipya toka kwa Tundu Lissu.
..Clouds walifanya mahojiano na Lissu mpaka wakaamua kuzidisha muda wa kipindi.
..fuatilia mahojiano hapa chini.
View: https://www.youtube.com/watch?v=ExjdX8ZPBwQ
sister Ukipata Muda Naomba Uandike Nyuzi Humu za Mahojiano Ya Lissu ili Nami niweze Kuelewaa , Nakuomba 🙏Hata mimi napenda sana kuangalia mahojiano ya Lissu, nafurahia namna anavyojibu maswali kwa ufafanuzi wa kina. Huwezi kubaki na maswali kwa anayoyaengelea.
Kupitia posts zako 2 hapa nimeelewa una shida ya kusikia, pole sana.sister Ukipata Muda Naomba Uandike Nyuzi Humu za Mahojiano Ya Lissu ili Nami niweze Kuelewaa , Nakuomba 🙏
Daah I Wish Ningekuwa Namsikiaa 😭, Unaweza Kuweka Mahojiano Yake kwa Maandishi Nami Nielewe Kinachosemwa...
Nikitumia Headphones Sielewii, ila Sauti Naisikia. Sema Kinachozungumzwa ndo Sielewiii...tumia headphones kusikiliza.
Kweli ww ni mtoto wa shule. Yaani umwite Lissu mpuuzi puuzi. Wewe ni fakeni kabisaWaandishi wa habari wa Bongo hupenda kuhoji watu wapuuzi wapuuzi kama Pierre Liquid, Dk. Shika, Manara, Lissu, nk kwasababu Wabongo wengi wenye vichwa vyepesi hupenda vitu vya kipuuzi puuzi!
And I mean it! Mpuuzi!Kweli ww ni mtoto wa shule. Yaani umwite Lissu mpuuzi puuzi. Wewe ni fakeni kabisa
Sawa mpuuzi weweAnd I mean it! Mpuuzi!
DuuhAnd I mean it! Mpuuzi!
Ahahahahaha!!!Sawa mpuuzi wewe
Itajulikana tu, nadhani wananchi wameanza kuwa waelewa.WAtampitisha lakini Wale Mashetani wana nguvu