Tetesi: Zaidi ya Nusu Wajumbe Kamati ya Maadili Kujiuzulu Kabla ya 21/1

Tetesi: Zaidi ya Nusu Wajumbe Kamati ya Maadili Kujiuzulu Kabla ya 21/1

Cyprian musiba hapati usingizi kutwa anashinda kwa waganga wa kienyeji
 
Wanabodi, nimeinyaka hii asubuhi ya leo toka kwa mjumbe wa mjengoni lakini yeye sio member wa kamati hii.

Ni kuwa baadhi ya Wajumbe wa Kamati hii ya Maadili hawataki kuwa historia ya kutenda uovu wa kumharass mtu ambaye ni kioo cha kujitizama pale Mali na fedha za umma zinapokwenda halijojo.

Wanataka kudhibitisha kwa umma kuwa wao sio dhaifu bali kiti ndio dhaifu.

Pia Bunge ndio linaazimia nani aitwe na sio kiti akitokea nyumbani au akipigiwa simu na huyo mbabe wake anatangaze mtu anaitwa.

Najua JF ni kubwa kuliko media yeyote nchini hivyo hakosi humu member hata mmoja wa hiyo kamati, atudhibitishie huo mtifuano jee una uhakika? Utazalisha nini,?


Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee...kwanini mnaandika taarifa za upotoshaji kiasi hiki?
Mnanufaika na nini?
 
Wanabodi, nimeinyaka hii asubuhi ya leo toka kwa mjumbe wa mjengoni lakini yeye sio member wa kamati hii.

Ni kuwa baadhi ya Wajumbe wa Kamati hii ya Maadili hawataki kuwa historia ya kutenda uovu wa kumharass mtu ambaye ni kioo cha kujitizama pale Mali na fedha za umma zinapokwenda halijojo.

Wanataka kudhibitisha kwa umma kuwa wao sio dhaifu bali kiti ndio dhaifu.

Pia Bunge ndio linaazimia nani aitwe na sio kiti akitokea nyumbani au akipigiwa simu na huyo mbabe wake anatangaze mtu anaitwa.

Najua JF ni kubwa kuliko media yeyote nchini hivyo hakosi humu member hata mmoja wa hiyo kamati, atudhibitishie huo mtifuano jee una uhakika? Utazalisha nini,?


Sent using Jamii Forums mobile app

In fact njia hiyo itaipa hadhi Bunge kama Bunge na kumaliza mzozo huu kati ya CAG na Bunge na kulifanya tatizo kuwa la Ndungai kama Mbunge.
 
In fact njia hiyo itaipa hadhi Bunge kama Bunge na kumaliza mzozo huu kati ya CAG na Bunge na kulifanya tatizo kuwa la Ndungai kama Mbunge.

Usikute magufuli kanusa ufujaji wa pesa ofisi ya Bunge lakini anaona Aibu kumkamata Spika kaamua kutengeneza uchonganishi kisayansi ili CAG akasirike akague hesabu za Ofisi ya Bunge na Ndungai apelekwe keko.
 
Wakijitoa wasahau Ubunge 2020

Ujue 2020 CCM yenyewe ni bye bye Duniani kote wanajiandaa kuja kufuta mbinu za uchakachuaji wa CCM hawataiba kura tena kuna dawa za kuwadhibiti zipo jikoni zinapikwa.
 
Wanabodi, nimeinyaka hii asubuhi ya leo toka kwa mjumbe wa mjengoni lakini yeye sio member wa kamati hii.

Ni kuwa baadhi ya Wajumbe wa Kamati hii ya Maadili hawataki kuwa historia ya kutenda uovu wa kumharass mtu ambaye ni kioo cha kujitizama pale Mali na fedha za umma zinapokwenda halijojo.

Wanataka kudhibitisha kwa umma kuwa wao sio dhaifu bali kiti ndio dhaifu.

Pia Bunge ndio linaazimia nani aitwe na sio kiti akitokea nyumbani au akipigiwa simu na huyo mbabe wake anatangaze mtu anaitwa.

Najua JF ni kubwa kuliko media yeyote nchini hivyo hakosi humu member hata mmoja wa hiyo kamati, atudhibitishie huo mtifuano jee una uhakika? Utazalisha nini,?


Sent using Jamii Forums mobile app
ACHA UMBEA WEWE MLETA HABARI HUNA UHAKIKA
 
Usitulishe matango pori,sisi tupo na CAG lazima aje mbele ya Kamati yetu ajieleze kwa nini amelidhalilisha Bunge
 
Back
Top Bottom