Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Umepata taarifa za kiasi cha mafuta yaliyogunduliwa Namibia? Kama ni kuhusu maeneo yenye volcano mbona hata sisi Tanzania tuna ukanda huo northern circuit yote ni ukanda wa volcano.Mkuu acha utani, America IPO kwenye maeneo ya volcano Sasa anakosa vipi rasilimali. Marekani wa 4 kwa uzalishaji wa natural gas, hakuna nchi Afrika inayomzidi Mafuta, Ardhi ya kutosha, rare earth elements za kutosha Sasa mkuu kipi huelewi.