Tetesi: Zaidi ya wafanyakazi 600 yawakuta TPA......

Tetesi: Zaidi ya wafanyakazi 600 yawakuta TPA......

mapipando

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
2,922
Reaction score
3,559
Habari wakuu,

Kuna tetesi kuwa tarehe 29.05.2018 zaidi ya wafanyakazi 600 walio na vyeti feki wamepewa barua za kuachishwa kazi pasipo malipo yeyote kwani walikuwa wakiibia serikali hivyo hawastahili fidia.

Ili kuziba pengo lao, kuna tangazo lilitolewa watu wapeleke vyeti vyao, na watu wameshapeleka sasa wanasubiria tu kuitwa kwenye usahili,hivyo watakaobahatika kuajiriwa angalau na wao watapunguza machungu ya maisha.
 
Hizi party za kimya kimya, kama huna mtu wa kuunganishia, utaishia kuzurula na vyeti vyako na zipo nyingi sana hizi party hata TTCL nao kimya kimya, hawatangazi nafasi ila bado wanaajiri watu kimya kimya.
 
ila hili tangazo mngeliweka mapema hapa aiseee... kabla halija chacha
 
Hizi party za kimya kimya, kama huna mtu wa kuunganishia, utaishia kuzurula na vyeti vyako na zipo nyingi sana hizi party hata TTCL nao kimya kimya, hawatangazi nafasi ila bado wanaajiri watu kimya kimya.
Wamekuwa na tabia ya kujuzana wenyewe kwa wenyewe ndani ya organization so kama huna unaemjua utabaki na unachokijua.
 
Back
Top Bottom