mapipando
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,922
- 3,559
Habari wakuu,
Kuna tetesi kuwa tarehe 29.05.2018 zaidi ya wafanyakazi 600 walio na vyeti feki wamepewa barua za kuachishwa kazi pasipo malipo yeyote kwani walikuwa wakiibia serikali hivyo hawastahili fidia.
Ili kuziba pengo lao, kuna tangazo lilitolewa watu wapeleke vyeti vyao, na watu wameshapeleka sasa wanasubiria tu kuitwa kwenye usahili,hivyo watakaobahatika kuajiriwa angalau na wao watapunguza machungu ya maisha.
Kuna tetesi kuwa tarehe 29.05.2018 zaidi ya wafanyakazi 600 walio na vyeti feki wamepewa barua za kuachishwa kazi pasipo malipo yeyote kwani walikuwa wakiibia serikali hivyo hawastahili fidia.
Ili kuziba pengo lao, kuna tangazo lilitolewa watu wapeleke vyeti vyao, na watu wameshapeleka sasa wanasubiria tu kuitwa kwenye usahili,hivyo watakaobahatika kuajiriwa angalau na wao watapunguza machungu ya maisha.