Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeeee....! haya mambo haya ya kushitukiza ni ktk makontena tu??? huku hakuusiki kabisaaaMkuu kuna wengine walipigiwa simu wakiwa safarini wakashuka wakarudi Dar fasta kuja kupeleka maombi.
[emoji15] [emoji43][emoji43]Huwa nafurahi sana taarifa za Mtumishi wa Umma kufukuzwa kazi. Mtu akiwa serikalini anajionaga mungu sana.
Ajira kimya kimya ni kwa wasukuma tu nini?Hii habari ni ya ukweli, nathibitisha cz kuna ndugu yangu kapeleka vyeti vyake na walitoa ajira kimya kimya, ili watu wasijue, na ni nyingi sana,
Kuna mdau aliuliza wameshaanza kuitwa wale waliopeleka vyeti?ZA KUNYAPIA NYAPIA NA ZA UHAKIKA KUTOKA KWA WATU WANGU WAKARIBU HUKO BONDENI NI KWAMBA HAKUKALIKI ZAIDI YA WAFANYAKAZI 600 WAMEPIGWA CHINI KIMYA KIMYA NA WANAPIGWA CHINI KWA AWAMU ILI KUTOATHIRI UFANYAJI KAZI NA SHUHULI ZA BANDARI
HABARI ZINAELEZA KUWA WANAONDOLEWA KWA MAKUNDI ALAFU WANAAJIRIWA WAPYA ILI WAJIFUNZE WAKIZOEA ,WENGINE WANAFUKUZWA TENA KISHA WANAAJIRIWA WAPYA NA MPANGO UNAENDA KWA AWAMU NA KUNA WALIOPO KAZINI WASHAPATA HABARI YAO NA WENGINE HAWAJUI ILI KUTOATHIRI SHUHULI ZA BANDARI
HIVYO MAJAMAA KUEPUKA LILE NYOMI LA TRA WAKAAMUA KUTANGAZA HIZO AJIRA KIMYA KIMYA YANI WALIOPO NDANI PEKEE NDIO WALIOKUWA WANAJUA HIVYO WAKAHABARISHANA
NA WALIKUWA WANA HARAKA KUHITAJI WATU MAANA HATA CV HAWAKUZITAKA WALIKUWA WANATAKA COPY ZA VYETI TUU NA SIO KINGINE, NA WALITOA MASAA 48 TU KUPELEKA COPY ZA VYETI
Walitangaza mbonaHii habari ni ya ukweli, nathibitisha cz kuna ndugu yangu kapeleka vyeti vyake na walitoa ajira kimya kimya, ili watu wasijue, na ni nyingi sana,
Ndo maana yakeWanaiibiaje serikali na wakawa wanapokea kodi zao za makato ya mishahara....Kwahy serikali ilikiwa inapokea pesa ya wizi???
Sio wote labda mabushman,maprimitive waliotokea interior wengi huwa na PhD za roho mbaya ukivaa shati mpya wananuna.Huwa nafurahi sana taarifa za Mtumishi wa Umma kufukuzwa kazi. Mtu akiwa serikalini anajionaga mungu sana.
Wenye PhD za roho mbaya hawakuanza leo,Furaha yao kuona wengi wanakosa.Pepo La Roho Mbaya Likutoke
hili ndio la muhimu...Siku nyigine muwe mnaleta taarifa mapema.
Atakuwa anatokea ukanda ule wa bwana yule bila shakaDuuhhh una roho km bashite
Mkuu kuna wafanyakazi wa makampuni mengine ambayo yamo ndani ya TPA ambao pia wamekuwa wakitamani kuajiriwa na mamlaka lakini walikuja kujua siku ya mwisho ya kuleta vyeti tena wakiwa kazini,so unafikiri nani anaumia zaidi wewe ulie mbali au huyu wajikoni?Siku nyigine muwe mnaleta taarifa mapema.
Ngoja tukae dolia...Siku nyigine muwe mnaleta taarifa mapema.