okyo
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 2,003
- 1,507
Acha tu mkuu japo sijakata tamaa lakini kuna mambo yanatakiwa angaliwa kwa jicho la huruma sanaAisee
Mpaka nilifika iyo hatua ni sababu naona kabisa kama jamaa watakuwa wanafanya michezo kichafu
Alafu cha kufurahisha zaidi unakuta wametangaza post watu 10 wanahitajika ukisoma status ya iyo nafasi unaambiwa mtu mmoja ameshaitwa kazini, ikabidi nianze fatilia status ya post mbali mbali nikaona kama vinavyoandikwa ni vile vile nikaanza ona kuna ujanja ujanja tu apa