Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,816
- 8,809
Haya mambo yanaumiza sana ndugu zangu ujue tunaomba kazi kila siku tunakesha kwenye mitandao lakini hauitwi hata interview tu wakati huo huo wenzako wanapata kazi
Hapa ndio Huwa napata kigugumizi inamana mimi Sina vigezo kiasi hiki au kuna mahali nakosea
Kuna siku niliamua wasiliana Na wahusika CV people maana ninaomba sana kazi kwenye website yao lakini hata interview tu sijawahi itwa jamaa wakasema niwasiliane Na ofisi zao ambazo zipo dar es salaam, dah niliumia sana nikaamua achana tu na hili Jambo
Lakini kwa kweli waajiri mnatupa stress sana tuiteni tu hata interview kama tutakosa tukose huko mbele lakini sio kuwekana kindugu nafasi zinatangazwa alafu zinaishia juu juu
......
broo hii dunia wanaposemaga ni ya Mungu huwa sielewagi kabisa
Mungu atafanya njia