Zaidi ya Wakulima wa miwa 11,000 Kilombero Morogoro wameungana na Mpina kumpeleka Bashe mahakamani

Zaidi ya Wakulima wa miwa 11,000 Kilombero Morogoro wameungana na Mpina kumpeleka Bashe mahakamani

Stuka

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
282
Reaction score
906
Zaidi ya wakulima wa miwa 11,000 wa Bonde la Mto Kilombero mkoani Morogoro wameungana na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kumpeleka mahakamani Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kwa kuruhusu uingizaji holela wa sukari kinyume cha sheria uliosababisha viwanda vya sukari kushindwa kununua miwa yao kutokana na kukosa soko la sukari na kutaka kuua kilimo cha miwa nchini.

Wakulima hao wamesema sukari imejaa kwenye viwanda kwani sukari ya kutoka nje ambayo imeingia bila kodi imewaathiri zaidi wao wakulima.


Pia soma=> Mpina kuwapeleka Mahakamani Waziri Bashe na Bodi ya Sukari kwa kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha Sheria
 
UNAWEZA SHANGAA ILI JINGA LA WAJINGA LIKABADILISHA GIA ANGANI KUUNGANA NA MPINA GAFLA
images.jpg
 
Zaidi ya wakulima wa miwa 11,000 wa Bonde la Mto Kilombero mkoani Morogoro wameungana na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kumpeleka mahakamani Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kwa kuruhusu uingizaji holela wa sukari kinyume cha sheria uliosababisha viwanda vya sukari kushindwa kununua miwa yao kutokana na kukosa soko la sukari na kutaka kuua kilimo cha miwa nchini.

Wakulima hao wamesema sukari imejaa kwenye viwanda kwani sukari ya kutoka nje ambayo imeingia bila kodi imewaathiri zaidi wao wakulima.

Wanapoteza muda wao bure, nchi hii sasa imetekwa na ipo chini ya 'msoga gang.'
 
Zaidi ya wakulima wa miwa 11,000 wa Bonde la Mto Kilombero mkoani Morogoro wameungana na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kumpeleka mahakamani Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kwa kuruhusu uingizaji holela wa sukari kinyume cha sheria uliosababisha viwanda vya sukari kushindwa kununua miwa yao kutokana na kukosa soko la sukari na kutaka kuua kilimo cha miwa nchini.

Wakulima hao wamesema sukari imejaa kwenye viwanda kwani sukari ya kutoka nje ambayo imeingia bila kodi imewaathiri zaidi wao wakulima.


Pia soma=> Mpina kuwapeleka Mahakamani Waziri Bashe na Bodi ya Sukari kwa kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha Sheria
Huu sasa ni utani, watakacha mmojammoja kwa visingizio kibao, mtanzania haaminiki.
 
Zaidi ya wakulima wa miwa 11,000 wa Bonde la Mto Kilombero mkoani Morogoro wameungana na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kumpeleka mahakamani Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kwa kuruhusu uingizaji holela wa sukari kinyume cha sheria uliosababisha viwanda vya sukari kushindwa kununua miwa yao kutokana na kukosa soko la sukari na kutaka kuua kilimo cha miwa nchini.

Wakulima hao wamesema sukari imejaa kwenye viwanda kwani sukari ya kutoka nje ambayo imeingia bila kodi imewaathiri zaidi wao wakulima.


Pia soma=> Mpina kuwapeleka Mahakamani Waziri Bashe na Bodi ya Sukari kwa kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha Sheria
Wanapoteza muda tu. Mimi ni mwenyeji wa Mbeya. Miaka yote Mbeya sukari tunatumia ya Ilovo kutoka Malawi na inapatikana sana kwa bei nafuu. Na wanaoleta hiyo sukari hawaombi vibari kwa Hussein Bashe.

Jiulize tu kwa nini viwanda vyetu vuinashindwa kuuza sukari kwa bei competitive.

Kesi haina mashiko, hili ni soko huria, wapunguze gharama za uzalishaji na wazalishe sukari nyingi tutanunua
 
Zaidi ya wakulima wa miwa 11,000 wa Bonde la Mto Kilombero mkoani Morogoro wameungana na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kumpeleka mahakamani Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kwa kuruhusu uingizaji holela wa sukari kinyume cha sheria uliosababisha viwanda vya sukari kushindwa kununua miwa yao kutokana na kukosa soko la sukari na kutaka kuua kilimo cha miwa nchini.

Wakulima hao wamesema sukari imejaa kwenye viwanda kwani sukari ya kutoka nje ambayo imeingia bila kodi imewaathiri zaidi wao wakulima.


Pia soma=> Mpina kuwapeleka Mahakamani Waziri Bashe na Bodi ya Sukari kwa kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha Sheria

Wamejitoa keli kweli .... I hope hawatapotezwa kama wengine!!
 
Wanapoteza muda tu. Mimi ni mwenyeji wa Mbeya. Miaka yote Mbeya sukari tunatumia ya Ilovo kutoka Malawi na inapatikana sana kwa bei nafuu. Na wanaoleta hiyo sukari hawaombi vibari kwa Hussein Bashe.

Jiulize tu kwa nini viwanda vyetu vuinashindwa kuuza sukari kwa bei competitive.

Kesi haina mashiko, hili ni soko huria, wapunguze gharama zanuzalishaji na wazalishe sukari nyingi tutanunua
Cost of production kwa Tanzania ni kubwa mikodi ni mingi. Usilaumun
wazalishaji laumu serekali yako.
 
Kilimo ndio chaka lao la upigaji kwa sasa.

We unadhani trillion 1.3 ya budget yote inaenda kwa wakulima.

Bashe hatoki hapo ni kiungo muhimu cha majizi yanayomtumia (victim of circumstances; inn too deep).

Hamjamsikia ‘bi-tozo’ juzi ukitaka mafanikio kwenye kilimo muweke msomali; mama hajui kushiba.
 
Back
Top Bottom