Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Kwani wanapofanya feasibility study kabla ya ku invest kwenye hivyo viwanda hawakuona kuwa hizo costs of production na kodi kuwa ziko juu?Cost of production kwa Tanzania ni kubwa mikodi ni mingi. Usilaumun
wazalishaji laumu serekali yako.