Zaidi ya wakulima wa miwa 11,000 wa Bonde la Mto Kilombero mkoani Morogoro wameungana na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kumpeleka mahakamani Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kwa kuruhusu uingizaji holela wa sukari kinyume cha sheria uliosababisha viwanda vya sukari kushindwa kununua miwa yao kutokana na kukosa soko la sukari na kutaka kuua kilimo cha miwa nchini.
Wakulima hao wamesema sukari imejaa kwenye viwanda kwani sukari ya kutoka nje ambayo imeingia bila kodi imewaathiri zaidi wao wakulima.
Kwani huko Kilombero na Morogoro hakuna wabunge wa kuwatetea hao wakulima? mmefanya vizuri sana kuungana kwenda mahakamani kupinga hiyo sheria mpya ya bashe kuhusu sukari
Zaidi ya wakulima wa miwa 11,000 wa Bonde la Mto Kilombero mkoani Morogoro wameungana na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kumpeleka mahakamani Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kwa kuruhusu uingizaji holela wa sukari kinyume cha sheria uliosababisha viwanda vya sukari kushindwa kununua miwa yao kutokana na kukosa soko la sukari na kutaka kuua kilimo cha miwa nchini.
Wakulima hao wamesema sukari imejaa kwenye viwanda kwani sukari ya kutoka nje ambayo imeingia bila kodi imewaathiri zaidi wao wakulima.
Kwani huko Kilombero na Morogoro hakuna wabunge wa kuwatetea hao wakulima? mmefanya vizuri sana kuungana kwenda mahakamani kupinga hiyo sheria mpya ya bashe kuhusu sukari
Zaidi ya wakulima wa miwa 11,000 wa Bonde la Mto Kilombero mkoani Morogoro wameungana na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kumpeleka mahakamani Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kwa kuruhusu uingizaji holela wa sukari kinyume cha sheria uliosababisha viwanda vya sukari kushindwa kununua miwa yao kutokana na kukosa soko la sukari na kutaka kuua kilimo cha miwa nchini.
Wakulima hao wamesema sukari imejaa kwenye viwanda kwani sukari ya kutoka nje ambayo imeingia bila kodi imewaathiri zaidi wao wakulima.
Zaidi ya wakulima wa miwa 11,000 wa Bonde la Mto Kilombero mkoani Morogoro wameungana na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kumpeleka mahakamani Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kwa kuruhusu uingizaji holela wa sukari kinyume cha sheria uliosababisha viwanda vya sukari kushindwa kununua miwa yao kutokana na kukosa soko la sukari na kutaka kuua kilimo cha miwa nchini.
Wakulima hao wamesema sukari imejaa kwenye viwanda kwani sukari ya kutoka nje ambayo imeingia bila kodi imewaathiri zaidi wao wakulima.
Wanapoteza muda tu. Mimi ni mwenyeji wa Mbeya. Miaka yote Mbeya sukari tunatumia ya Ilovo kutoka Malawi na inapatikana sana kwa bei nafuu. Na wanaoleta hiyo sukari hawaombi vibari kwa Hussein Bashe.
Jiulize tu kwa nini viwanda vyetu vuinashindwa kuuza sukari kwa bei competitive.
Kesi haina mashiko, hili ni soko huria, wapunguze gharama za uzalishaji na wazalishe sukari nyingi tutanunua
Zaidi ya wakulima wa miwa 11,000 wa Bonde la Mto Kilombero mkoani Morogoro wameungana na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kumpeleka mahakamani Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kwa kuruhusu uingizaji holela wa sukari kinyume cha sheria uliosababisha viwanda vya sukari kushindwa kununua miwa yao kutokana na kukosa soko la sukari na kutaka kuua kilimo cha miwa nchini.
Wakulima hao wamesema sukari imejaa kwenye viwanda kwani sukari ya kutoka nje ambayo imeingia bila kodi imewaathiri zaidi wao wakulima.
Wanapoteza muda tu. Mimi ni mwenyeji wa Mbeya. Miaka yote Mbeya sukari tunatumia ya Ilovo kutoka Malawi na inapatikana sana kwa bei nafuu. Na wanaoleta hiyo sukari hawaombi vibari kwa Hussein Bashe.
Jiulize tu kwa nini viwanda vyetu vuinashindwa kuuza sukari kwa bei competitive.
Kesi haina mashiko, hili ni soko huria, wapunguze gharama zanuzalishaji na wazalishe sukari nyingi tutanunua