FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
Nashangazwa sana na huduma za SMS zinavyokwenda..unaweza kutuma msg leo asubuhi inamfikia mhusika kesho au usiku au isifike kabisa kuna tatizo gani ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FL mimi nilifikuli ni mim peke yangu mana msg za JUZI bado ziko pending
hapana King of King hauko peke yangu wengi tuna tatizo hilo ..sijaelewa kama zain hawana habari na hili ..hiki ni kilio cha wengi
Nashangazwa sana na huduma za SMS zinavyokwenda..unaweza kutuma msg leo asubuhi inamfikia mhusika kesho au usiku au isifike kabisa kuna tatizo gani ?
Wako majimboni kwenye Campaign
hahahaha Campain za nini Askofu???