Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi mpaka namuonea huruma..
sijui kwanini walipeleka hawa wanasiasa kewnye bunge la katiba
this bunge needed only 60 people
Viti maalumu
Mkuu wewe tumefanana,nimemsikiliza mwa makini lkn sikuambulia chochote.Na kama kawaida magamba walikuwa wakimshangilia
ila hoja aliyoijenga sikuiona mbali na kuwasilisha msimamo wa chama wa kutaka kura ya wazi.Nasema ni msimamo wa chama coz magamba wote wameishikia bango kura ya wazi,nadhani kuna kitu nyuma yake.