Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Ruge alisemaje?Ruge hakukosea
Nini Rage yule aliyekuwa kocha wenu ALIYEWAITA MI MBWA YA KUBWEKABWEKA.Mkiitwa maMbumbumbu mnaanza kulia lia
Ruge hakukosea
.Nini Rage yule aliyekuwa kocha wenu ALIYEWAITA MI MBWA YA KUBWEKABWEKA.
Muwafunge Zalan goli 10? Kesho wakiwakosa sana ni 3-1 wanawatandika.Mnatafuta sababu mapema ili tukiwafunga zalan goli 10 mpate sababu yakusema tumeroga, uku nyinyi mkipigwa kipigo cha mbwa koko na nyasa big bullet
Unapokuwa mchawi unakuwa unafikiria uchawi kwa kila mtu, eti nimepita sehemu hizo mambo waliobobea kuzifanya ni wale waliokwenda kuwasha moto south africa na bado wakabanduliwaDah nimepita sehem maeneo ya uwanja wa Taifa, mambo ya nje ya uwanja yanayofanyika ni hatari tupu, nashindwa kuelewa hivi hata Zalan ni ya kuvunja nazi mida hii, ina maana kwa usajili mlioufanya hamna uhakika na ushindi hiyo kesho, dah, kazi ipo
LupasoHivi mechi ipo Chamazi au kwa Mkapa?
We unashangaa hyo wakati watu wameanza kuchangia hela ya mganga ya mechi ijayo ya simba wanaweka hela kwenye sahani hao ndio utopolo.Dah nimepita sehem maeneo ya uwanja wa Taifa, mambo ya nje ya uwanja yanayofanyika ni hatari tupu, nashindwa kuelewa hivi hata Zalan ni ya kuvunja nazi mida hii, ina maana kwa usajili mlioufanya hamna uhakika na ushindi hiyo kesho, dah, kazi ipo
Ugoro ni ngoma ngumu anaweza harisha akimeza mate mpaka utumbo utoke njeAcha bangi kaka, Tumia hata ugoro unatosha
Weka namba uchangiwe ukale chakulaDah nimepita sehem maeneo ya uwanja wa Taifa, mambo ya nje ya uwanja yanayofanyika ni hatari tupu, nashindwa kuelewa hivi hata Zalan ni ya kuvunja nazi mida hii, ina maana kwa usajili mlioufanya hamna uhakika na ushindi hiyo kesho, dah, kazi ipo
ushaambiwa nyuma mwiko unategemea nini??Dah nimepita sehem maeneo ya uwanja wa Taifa, mambo ya nje ya uwanja yanayofanyika ni hatari tupu, nashindwa kuelewa hivi hata Zalan ni ya kuvunja nazi mida hii, ina maana kwa usajili mlioufanya hamna uhakika na ushindi hiyo kesho, dah, kazi ipo
Wachawi wanajulikana kuwanga hadharaani mpaka kupewa adhabu na CAFHawa ni wachawi daima