Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Dah nimepita sehem maeneo ya uwanja wa Taifa, mambo ya nje ya uwanja yanayofanyika ni hatari tupu, nashindwa kuelewa hivi hata Zalan ni ya kuvunja nazi mida hii, ina maana kwa usajili mlioufanya hamna uhakika na ushindi hiyo kesho, dah, kazi ipo