Jamani nimecheka Sana . Samahani naomba nipe SoMo...mie slow learner!Uzi unafundisha sana huuu.M ods upandisheni kwenye sticky threads
Wahuni kibao mtaani wakaanza kufanya kazi ya kusukuma mikokoteni ili nao wapate zali hilo la mentali.
Watu wakaanza kutembelea upepo wa zali la mentali π€£π€£π€£Sure[emoji28][emoji28][emoji28]
Mtoa mada ameandika kwa mafumbo....Wachache ndio tumeelewaJamani nimecheka Sana . Samahani naomba nipe SoMo...mie slow learner!
[emoji2960][emoji2960][emoji2960]Mtoa mada ameandika kwa mafumbo....Wachache ndio tumeelewa
Ila anamaanisha, Tanzania tuna bahati sana tumepata yesu wetu...