2018
JF-Expert Member
- Jan 1, 2018
- 546
- 779
Wakuu kama wakuu,
Aloo nakumbuka enzi hizo umetoka wimbo wa Prof.Jay ft. Juma Nature unaoitwa zali la mentali.
Wahuni kibao mtaani wakaanza kufanya kazi ya kusukuma mikokoteni ili nao wapate zali hilo la mentali.
Wapo waliolipata zali la mentali na wengine wengi hawakupata na baada ya miaka mingi wakaamua kurejea kwenye kazi zao za awali.
Aloo nakumbuka enzi hizo umetoka wimbo wa Prof.Jay ft. Juma Nature unaoitwa zali la mentali.
Wahuni kibao mtaani wakaanza kufanya kazi ya kusukuma mikokoteni ili nao wapate zali hilo la mentali.
Wapo waliolipata zali la mentali na wengine wengi hawakupata na baada ya miaka mingi wakaamua kurejea kwenye kazi zao za awali.