Elections 2010 Zama Mpya: Blogu Yamu-endorse Dkt Slaa

Elections 2010 Zama Mpya: Blogu Yamu-endorse Dkt Slaa

Yawezekana uliongea naye pembeni eeh? Lol

Hata hivyo kupendekeza sio closest match. Bado nasimamia 'kuunga mkono'

Wewe lako ni lipi? Au Kiranga akishasema kwako hakuna mjadala?

"Kuunga mkono' si neno, ni maneno, tunatafuta neno, kama tungetafuta maneno tungekuwa na shindano la insha au kuandika kitabu.
 
Narudia tena huwezi kupima umbo la square kwa nyuzi ila unapima angle kwa nyuzi tofautisha, hakuna kiswahili swahili hapo. Hebu tuambie square ya L:6 W:6 ina area ya nyuzi ngapi.


kwani kuna mtu alikuwa anapima umbo?

hivi quinine umesoma hadi wapi mathematics?
 
"Kuunga mkono' si neno, ni maneno, tunatafuta neno, kama tungetafuta maneno tungekuwa na shindano la insha au kuandika kitabu.

Kuna maneno ambayo kwenye tafsiri ya lugha ingine huwezi kupata neno moja tu linalotoa tafsiri. Bisha na hilo....
 
"Gazeti la Tanzania Daima "linampendekeza" Dr. Slaa kwenye ugombeaji wake wa uraisi"

"Gazeti la Tanzania Daima "linamuunga mkono" Dr. Slaa kwenye kwenye ugombeaji wake wa uraisi"

Wahariri wanaojua linguistics na economy of words watachagua "linampendekeza"
 
Kuna maneno ambayo kwenye tafsiri ya lugha ingine huwezi kupata neno moja tu linalotoa tafsiri. Bisha na hilo....

Right, lakini si hili la endorse, tushaona kuna "pendekeza" so "kuunga mkono is less efficient and unnecessarily long.
 
Yawezekana uliongea naye pembeni eeh? Lol

Hata hivyo kupendekeza sio closest match. Bado nasimamia 'kuunga mkono'

Wewe lako ni lipi? Au Kiranga akishasema kwako hakuna mjadala?

hata ushindi wa kuwa 'nimeotea' ndivyo unakataa kunipa! hahaha sawa bwana

sidhani kama kuna neno ambalo linaleta hasa ile maana halisi ya endorse lakini nadhani kwa muktadha wa leo ni 'kuunga mkono' na sio 'kupendekeza' kwa vile hajampendekeza dkt slaa kwa wasomaji wake unless tuseme kajipendekezea 🙂
 
hata ushindi wa kuwa 'nimeotea' ndivyo unakataa kunipa! hahaha sawa bwana

sidhani kama kuna neno ambalo linaleta hasa ile maana halisi ya endorse lakini nadhani kwa muktadha wa leo ni 'kuunga mkono' na sio 'kupendekeza' kwa vile hajampendekeza dkt slaa kwa wasomaji wake unless tuseme kajipendekezea 🙂

Basi mfundishe Kiranga namna ya kusoma na kuelewa muktadha maana naona anarukaruka tu kaa Mbayuwayu bila uelewa wa muktadha husika.

Kama kweli uliotea basi heko dada.
 
No wonder we never get anywhere.

I wouldn't be far fetched to volunteer liberaly that you are irked by the "disruptive disorder". If not, I will address it anyway for the sake of those who hold this view.

I think one of the reasons we don't get anywhere is because we do not explore enough. We cannot hold a multithreaded conversation, we can't chew gum and walk at the same time.

And when a person is evolving a thread into a multithreaded exchange, that person is perceived as being disruptive and an enemy of order.

We think inside the box and value order too much for our own good. Even our people can't vote the opposition because of fear of disrupting order (partly, the other part is the opposition itself stinks because it fears and does not do much to disrup order)
 
Basi mfundishe Kiranga namna ya kusoma na kuelewa muktadha maana naona anarukaruka tu kaa Mbayuwayu bila uelewa wa muktadha husika.

Kama kweli uliotea basi heko dada.

Mshaanza spin mastering hapa, issue ni "endorse". Nafikiri unapompendekeza mtu you put more of your neck on the line kuliko unavyo "muunga mkono". Mathalani, unaweza kumuunga mtu mkono kisirisiri, au kumuunga mkono mkiwa wawili tu, yeye na wewe, bila kuhusisha mtu mwingine. Lakini unapompendekeza ina imply kwamba umekuja out in the open na kumpendesha kwa watu wengine.

Hence political endorsement is more like kupendekeza zaidi ya kuunga mkono.
 
Halafu hakuna kitu kama "illiterate wa math" mtu asiyejua math ni "innumerate"
Kiranga mimi si ngwini lakini ukileta maneno ya field yangu nayaweza.
Tofautisha Hesabu (counting, basic maths) na Hisabati (pure mathematics), wewe si innumerate ila ni illiterate wa maths. Wewe si kwamba hujui hesabu (counting) hapana hizo hata cashier wa benki anazijua. Kiwango chako cha hesabu kinaishia kwenye simple arithmetical operations tu yaani +,- ,x, / huendi zaidi ya hapo kwa hiyo siwezi kukuita wewe ni innumerate.

Baada ya kiwango hicho kuna pure maths esp. degree holders specialized in maths huwezi kuwaita ni ma numerate hawa ni professionals wa maths wewe huko kwenye kundi hili. Kwa hiyo ninaweza kusema kabisa wewe si innumerate kwa vile unajua kuhesabu and simple arithmetics ila ni illterate au simply layman wa mathematics. Mimi si linguistic naweza kusema kabisa ni layman kwenye hiyo field na sioni aibu kusema hivo.
 
nijuavyo:

kukiwa na choice mbili ambayo moja unaiunga mkono na ukataka watu pia waiunge mkono choice ile ......hapo ni kupendekeza

tatizo hapa huyu blogger hajatwambia kuwa na sisi tumfate slaa, kasema yeye tu anamfata.....itabidi nibaki na kumuunga mkono
 
Mshaanza spin mastering hapa, issue ni "endorse".

Hakuna spin master aliyebobea kama wewe ma dude. Wewe ni spin doctor extraordinaire!!

Nafikiri unapompendekeza mtu you put more of your neck on the line kuliko unavyo "muunga mkono". Mathalani, unaweza kumuunga mtu mkono kisirisiri, au kumuunga mkono mkiwa wawili tu, yeye na wewe, bila kuhusisha mtu mwingine. Lakini unapompendekeza ina imply kwamba umekuja out in the open na kumpendesha kwa watu wengine.

Blogger yeye kaamua kumuunga mkono mgombea wa CHADEMA waziwazi. Sioni tatizo hapo.

Hence political endorsement is more like kupendekeza zaidi ya kuunga mkono.

Kwako wewe ni hivyo lakini kwangu mimi political endorsement ni kuunga mkono kisiasa n.k.. Ni kuunga mkono sera za mgombea na yote au mengi ya anayosimamia na kuyaamini.
 
Kiranga mimi si ngwini lakini ukileta maneno ya field yangu nayaweza.
Tofautisha Hesabu (counting, basic maths) na Hisabati (pure mathematics), wewe si innumerate ila ni illiterate wa maths. Wewe si kwamba hujui hesabu (counting) hapana hizo hata cashier wa benki anazijua. Kiwango chako cha hesabu kinaishia kwenye simple arithmetical operations tu yaani +,- ,x, / huendi zaidi ya hapo kwa hiyo siwezi kukuita wewe ni innumerate.

Baada ya kiwango hicho kuna pure maths esp. degree holders specialized in maths huwezi kuwaita ni ma numerate hawa ni professionals wa maths wewe huko kwenye kundi hili. Kwa hiyo ninaweza kusema kabisa wewe si innumerate kwa vile unajua kuhesabu and simple arithmetics ila ni illterate au simply layman wa mathematics. Mimi si linguistic naweza kusema kabisa ni layman kwenye hiyo field na sioni aibu kusema hivo.

"Illiterate wa math" Hilarious, I am still laughing at how people expose themselves here.

Illiterate --> Literature --> Kusoma na kuandika --> Ungwini
Innumerate --> Numbers --> Kuhesabu --> Ulongman

Ukisema illiterate haiendani na maths, havichanganyiki kama mafuta na maji.

Umelikoroga.

Kwenye angle vipi, usha give up?
 
nijuavyo:

kukiwa na choice mbili ambayo moja unaiunga mkono na ukataka watu pia waiunge mkono choice ile ......hapo ni kupendekeza

tatizo hapa huyu blogger hajatwambia kuwa na sisi tumfate slaa, kasema yeye tu anamfata.....itabidi nibaki na kumuunga mkono

Ewaaaa yaani wewe umeonyesha upeo mkubwa sana wa kusoma na kuelewa na ndio maana nikasisitiza umuhimu wa kuangalia muktadha uliotumika ili kuelewa mwandishi alikusudia nini katika utumizi wake wa neno "endorse".
 
Wewe umesema huwezi kupima umbo kwa nyuzi, unapima angle kwa nyuzi.

A circle has 360 degrees (nyuzi) na kwa mujibu wako wewe, huwezi kupima umbo kwa nyuzi, unapima angle tu kwa nyuzi, sasa unaweza kutuonyesha hiyo angle ya circle yenye 360 degrees ili tujue kwamba tunaposema kwamba a circle has 360 degrees tunachoongelea ni degrees za angle na si za umbo zima la circle ?
Kiranga

Nimekwambia maths si sawa na linguistic kuwa tutaelezana humu hadi ni prove kama mnavyofanya wewe Nyani Ngabu na Gaijin kwenye linguistic. Kwa waliosoma maths wanaweza kukuelewa kuwa maths huwezi kusoma umelala kitandani unatakiwa uwe na kalamu na karatasi au uwe ubaoni. Therefore i cant be able to make a proof here.
 
Hakuna spin master aliyebobea kama wewe ma dude. Wewe ni spin doctor extraordinaire!!

I have the audacity to take this as a compliment, turn the intended jab into a glorious compliment.

Blogger yeye kaamua kumuunga mkono mgombea wa CHADEMA waziwazi. Sioni tatizo hapo.

Angemuunga mkono kisiri angekuwa bado ame m endorse ?

Kwako wewe ni hivyo lakini kwangu mimi political endorsement ni kuunga mkono kisiasa n.k.. Ni kuunga mkono sera za mgombea na yote au mengi ya anayosimamia na kuyaamini.

Ukimuunga mkono mtu bila kutangaza, umemuunga mkono kati yenu wawili tu, je umem endorse ?

Maana unaweza kumuunga mkono mtu bila kutangaza ati, hiyo nayo ni endorsement ?
 
Kiranga

Nimekwambia maths si sawa na linguistic kuwa tutaelezana humu hadi ni prove, kwa waliosoma maths wanaweza kukuelewa kuwa maths huwezi kusoma umelala kitandani unatakiwa uwe na kalamu na karatasi au uwe ubaoni. Therefore i cant be able to make a proof here.

Ushakubali kwamba unaongea vitu ambavyo huwezi ku prove.

Na math ni vitu vyenye proofs.

Therefore, you either(a) don't know what you are talking about, or (b) you are not talking maths.

It is entirely possible that both a and b are correct.
 
Back
Top Bottom