Zama zetu kali. Unakijua hiko kidubwasha wewee!?

Zama zetu kali. Unakijua hiko kidubwasha wewee!?

Kuna zile pipe za kwenye maboga tunazikata kisha tunatengeneza maji ya sabuni halafu unachova hicho kipaipu kisha unapuliza linatoka balloon na kupaa juu,tunafurahiii.
Kuna ingine unakata pipe ya tawi la mpapai, kisha unaweka chelewa katikati, unamlenga mjusi kisha unapuliza, ila chelewa inatuka kama mshale inaenda kumchoma mjusi nafia hapo hapo 🤣
 
Kuna ingine unakata pipe ya tawi la mpapai, kisha unaweka chelewa katikati, unamlenga mjusi kisha unapuliza, ila chelewa inatuka kama mshale inaenda kumchoma mjusi nafia hapo hapo 🤣
😀😀😀😀😀😀
 
Hizi zilikua za watoto wa kishua
🤣🤣

Screenshot_20210908-200711_WhatsApp.jpg
 
Kukimbiza hicho kindege na kukimbiza tairi ilikua unajikuta umekimbia had 9Km bila kujua alaf unaenda na kurud sasa ukifika home unakimbilia ndoo ya maji unakunywa maj ya kutosha
Ukitoka hapo jioni unaenda kucheza mpira wa kufuma , alaf yule mnene kuliko wote anakua kipa, mwenye mpira akichoka au akikasirika mpira unaishia hapohapo, hakuna penalt had mtu atoke damu, Yan hata aumizwe katkat ya uwanja damu ikionekana tu ni penat, hakuna jez ila tunatambuana kwa sura tu au kutambuana wengine wanavua mashati wanacheza kifua wazi [emoji16]

Sahiv madogo wanacheza PlayStation mtt mdogo anakua na kitambi
 
Marehemu LUCKDUBE alisema hivi

"One people" different "identity (ID)/color"

Intelejensia ya kiroho iko hapa, tayari kusasambua kilicho "sasambwa"
 
Sisi hadi Leo tunamdaka inzi na kumrusha anako elekea nasisi tunaelekea huko huko tukijua upande huo kuna pilau la shughuli[emoji23][emoji23]siku hizi ukimrusha inzi anaelekea chooni mapilau ya shughuli dash[emoji706][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Hiko siyo kishada.

Kishada ni magazeti/ manailoni yanatengenezwa kufuatisha umbo la ndubwi kwa kutumia chelewa kisha unafungwa uzi unakiacha kipepee, huku ule uzi unautumia kuchagua kukiongeza urefu au kupunguza.
Hiyo kwetu Arusha tunaita tiara. Kiingereza wanaita kite.

Siku hizi sioni hata watoto wakicheza hii michezo. Sisi enzi hizo tumechezea sana stiki kwa kuiba zile nyuzi za Robin za kufumia vitambaa vya bi mkubwa kwaajili ya kurushia tiara.
images (40).jpeg
 
Back
Top Bottom