Al Ahly wapumbavu...Katika hali isiyo ya Kawaida Club ya soka huko nchini Misri, imetunukiwa Alama 3 na magoli 3 kwa sababu Team ya Al ahly haikutokea uwanjani
Club hiyo Yenye mafanikio makubwa barani Afrika imegomea mchezo kwa kigezo kuwa haina Imani na marefa watakaa chezesha. Mtanange huo na kuomba waletwe waamuzi wa kigeni
Mababu pamoja na mleta mada kukusaidia kuandika Zamalek lakini bado ukaandika Zamarek?Lakini zamarek hawakutuma wahuni kwenda kuwafanyia fujo Al ahaly ili wasifanye mazoezi.
Kanuni namba ngapi hiyo? Na dhabu yake ni ipi?Kanuni zinasema kabla ya mchezo ni lazima usalama uwepo kwa mashabiki na wachezaji,sasa nyinyi mkatuma wahuni kwenda kuhatarisha usalama wa wachezaji mlitegemea nini?
Asante Mungu, tumeongeza precedents za kutumia kwenye case yetu Caf na FIFA. HureeeeeeKatika hali isiyo ya Kawaida Club ya soka huko nchini Misri, imetunukiwa Alama 3 na magoli 3 kwa sababu Team ya Al ahly haikutokea uwanjani
Club hiyo Yenye mafanikio makubwa barani Afrika imegomea mchezo kwa kigezo kuwa haina Imani na marefa watakaa chezesha. Mtanange huo na kuomba waletwe waamuzi wa kigeni
Bahati mbaya hii bodi yetu yaweza kuwa ilipigiwa simu na wanasiasa kuhairisha.mechi hapo kazi ipoBadi ya ligi ya misri wapo makini mno😃😃
Usalama haukuwepo? Kwamba kulikuwa na tishio la ugaidi, au kuna mtu aliyekuwa na silaha? Mwenye mamlaka ya kung'amua kuhusu usalama ni vyombo vya usalama tena baada ya kutoa ripoti, sio bodi ya Ligi! Bodi ya ligi na mambl ya usalana wapi na wapi?Kanuni zinasema kabla ya mchezo ni lazima usalama uwepo kwa mashabiki na wachezaji,sasa nyinyi mkatuma wahuni kwenda kuhatarisha usalama wa wachezaji mlitegemea nini?
Hapa Mtani mlikimbia kipigo na si vinginevyo 😀 😀 😀 😀Kanuni zinasema kabla ya mchezo ni lazima usalama uwepo kwa mashabiki na wachezaji,sasa nyinyi mkatuma wahuni kwenda kuhatarisha usalama wa wachezaji mlitegemea nini?
Exactly 💯 mkuuBahati mbaya hii bodi yetu yaweza kuwa ilipigiwa simu na wanasiasa kuhairisha.mechi hapo kazi ipo
Kama mlikuwa na uhakika wa kushinda ni kwanini mlienda kuwafanyia fujo wachezaji?Hapa Mtani mlikimbia kipigo na si vinginevyo 😀 😀 😀 😀
Kwani caf walipo waadhibu Simba kwa mashabiki wao kufanya vurugu kwenye mchezo wa shirikisho walitaarifiwa na polisi?Usalama haukuwepo? Kwamba kulikuwa na tishio la ugaidi, au kuna mtu aliyekuwa na silaha? Mwenye mamlaka ya kung'amua kuhusu usalama ni vyombo vya usalama tena baada ya kutoa ripoti, sio bodi ya Ligi! Bodi ya ligi na mambl ya usalana wapi na wapi?
Sababu ya kitoto hii! Hao wahuni waliwafanyia fujo gani wachezaji wenu kiasi cha kususia mechi? Na mlitoa taarifa kwa nani kama mna ratiba ya kufanya mazoezi?Lakini zamarek hawakutuma wahuni kwenda kuwafanyia fujo Al ahaly ili wasifanye mazoezi.
Hapa umeongea ukweli! Na kama uliangalia mechi ya jana dhidi ya TMA, ndiyo utagundua wazi Simba bado mnajitafuta uwanjani.Ile Game Simba tulikua tunakufa ujue,
Huku kwetu gemu ipo palepale na ole wenu nyuma mwiko msitokee uwanjani siku ya mechiKatika hali isiyo ya Kawaida Club ya soka huko nchini Misri, imetunukiwa Alama 3 na magoli 3 kwa sababu Team ya Al ahly haikutokea uwanjani
Club hiyo Yenye mafanikio makubwa barani Afrika imegomea mchezo kwa kigezo kuwa haina Imani na marefa watakaa chezesha. Mtanange huo na kuomba waletwe waamuzi wa kigeni