Zamalek SC yapewa alama 3, Al Ahly hajatokea uwanjani kwenye Cairo derby

Zamalek SC yapewa alama 3, Al Ahly hajatokea uwanjani kwenye Cairo derby

Kwani caf walipo waadhibu Simba kwa mashabiki wao kufanya vurugu kwenye mchezo wa shirikisho walitaarifiwa na polisi?
Kitendo cha kutuma magenge yenu ya kihuni ni kuashilia tosha kuwa mlikuwa na dhamira ya kufanya vurugu hasa iwapo matokeo yataenda tofauti na matarajio yenu.Na ndio maana mchezo ukaahilishwa ili hawa wahuni wadhibitiwe kwanza yasije kutokea maafa.
Nyinyi mashabiki wa utopo wengi wenu mna akili za hovyo siku ile mmetolewa kwenye mashindano ya club bingwa hamkupiga shabiki wa simba mbele ya Ali kamwe?
Umeandika UTUMBO mtupu! Unajua kazi ya maofisa usalama? Hapakuwa na official statement yeyote kutoka kwao kwamba kuna tishio la kiusalama uwanjani, Bali kulikuwa na report uchwara kutoka kwa makamishna kwamba mlitaka kwenda kuloga usiku mkazuiliwa. Suala la kiusalama linakuwa 'addressed' na barua rasmi kutoka vyombo vya usalama. NDIYO Caf walipokea report kutoka vyombo vya usalama sio Bodi ya Ligi wa TFF
 
Maana halisi ya Viongozi wenye uweledi na wanaozingatia kanuni na miongozo ya Ligi. Hakua kanuni inayosema timu ikinyimwa kufanya mazoezi igomee mchezo, Peleka waamuzi, peleka match officials, timu itakayofika ipatiwe alama 3 na magoli matatu, FULLSTOP! Hiyo ndiyo KANUNI na HAKI
ole wenu gemu ijayo msitokee uwanjani mnyama anachukua hizo pointi
 
Huku kwetu gemu ipo palepale na ole wenu nyuma mwiko msitokee uwanjani siku ya mechi
Game lipo pale hujamsikia kiongozi wako wa Kolo FC.
Screenshot_20250311_111137_Instagram.jpg
 
Zamalek 3-0 Aly al ft nikajua walicheza kumbe waungwana hawakutokea uwanjani🤣
 
Katika hali isiyo ya Kawaida Club ya soka huko nchini Misri, imetunukiwa Alama 3 na magoli 3 kwa sababu Team ya Al ahly haikutokea uwanjani

Club hiyo Yenye mafanikio makubwa barani Afrika imegomea mchezo kwa kigezo kuwa haina Imani na marefa watakaa chezesha. Mtanange huo na kuomba waletwe waamuzi wa kigeni
Kitu Bado haijaamuliwa
 
Hapa umeongea ukweli! Na kama uliangalia mechi ya jana dhidi ya TMA, ndiyo utagundua wazi Simba bado mnajitafuta uwanjani.
Game TMA sio kigezo,angalia unacheza na nani, usitegemee maandalizi ya mechi Na TMA yawe sawa na mechi na Yanga.

Kama umenifunga mara 4 unaogopa nni kuniruhusu kufanya mazoezi
 
Game TMA sio kigezo,angalia unacheza na nani, usitegemee maandalizi ya mechi Na TMA yawe sawa na mechi na Yanga.

Kama umenifunga mara 4 unaogopa nni kuniruhusu kufanya mazoezi
Kwa hiyo ungefanya mazoezi ile siku ya mwisho ndiyo ungepata nguvu ya kutokufungwa kwa mara ya 5 mfululizo! 😁
 
Sababu ya kitoto hii! Hao wahuni waliwafanyia fujo gani wachezaji wenu kiasi cha kususia mechi? Na mlitoa taarifa kwa nani kama mna ratiba ya kufanya mazoezi?

Si mseme tu ukweli mlipima kina cha maji, na baada ya kuhisi kuna hatari kubwa ya jahazi kuzama; mkaona mtafute kisingizio cha kususia!
Kwa timu gani mliyo nayo, au ndo hii iliyo shidwa kupenya kwenye kundi dhaifu la club bingwa?
 
Umeandika UTUMBO mtupu! Unajua kazi ya maofisa usalama? Hapakuwa na official statement yeyote kutoka kwao kwamba kuna tishio la kiusalama uwanjani, Bali kulikuwa na report uchwara kutoka kwa makamishna kwamba mlitaka kwenda kuloga usiku mkazuiliwa. Suala la kiusalama linakuwa 'addressed' na barua rasmi kutoka vyombo vya usalama. NDIYO Caf walipokea report kutoka vyombo vya usalama sio Bodi ya Ligi wa TFF
Huna chochote unacho kijua anaye ripoti matukio ya mchezo husika huwa ni kamishina wa mchezo husika na sio polisi.
 
Back
Top Bottom