Aliyetangulia kaburini ndo kaacha mazongezonge yote haya. Alidhibiti chama,akadhibiti serikali,akadhibiti media,akadhibiti vyombo vya usalama,wanaharakati mahakama bunge hilo ndo husiseme. Kwa hali hiyo bado hata hawa waliopo sasa wanatembelea humo mana yameshakuwa mazoea na mbaya zaidi hata akili za wanachama toka kipindi kile bado zimelala mana Ile hali waliyopitia kipindi kile mpaka sasa bado hawajarudi katika hali zao za kawaida. CCM inazidi kutupotezs kiukweli.