Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Kwa hali inavyoendelea hapo klabuni kwetu naona kuanzia wachezaji, benchi la ufundi mpaka viongozi hakuna anayejali wala kujivunia Yanga. Sasa tunafungwa hovyo hovyo na timu za kawaida kabisa tena mfululizo.
Hakuna anayejali. Katika mechi tisa zilizopita za mashindano Yanga imepoteza mechi sita, sare mbili na kushinda moja. Hii Yanga kweli timu ya wananchi?? Kweli?? Afadhali wangeshuka daraja kabisa..... No spirit, no fight, no hunger. Yanga hii nembo ya uhuru na taifa hili... kweli inakuwa hivi?...khaaaahhhh.
Hakuna anayejali. Katika mechi tisa zilizopita za mashindano Yanga imepoteza mechi sita, sare mbili na kushinda moja. Hii Yanga kweli timu ya wananchi?? Kweli?? Afadhali wangeshuka daraja kabisa..... No spirit, no fight, no hunger. Yanga hii nembo ya uhuru na taifa hili... kweli inakuwa hivi?...khaaaahhhh.