Zamani sie watu wa mikoani asilimia kubwa tulikuwa tunajua hawa jamaa wanaishi Dar.

Zamani sie watu wa mikoani asilimia kubwa tulikuwa tunajua hawa jamaa wanaishi Dar.

Eminem jr

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2018
Posts
2,003
Reaction score
4,584
sijui walipolea wapi hawa jamaa.
 

Attachments

  • 62057210_1188201251362122_6877988145669865472_n.jpg
    62057210_1188201251362122_6877988145669865472_n.jpg
    13.2 KB · Views: 80
aisee ni kitambo sana hawa jamaa hata kama ulikuwa hujui kusoma lakin kwa vituko vyao ni full kicheko
sana mkuu hawa watu ni kama walikuwa wana exist nakumbuka kipindi nasoma ndugu wakija kututembelea walitufungashia majarida ya sani ya kutosha kama ya miezi miwili au mitatu hivi, hivyo lazima nipitie segment za hao watu Ndumilakuwili, njomba nchumari, harakati za pimbi, sokomoko, kipepe, zena na betina etc na hadithi za sultan Tamba (kama sijakosea)
 
Walipotelea kwenye Gazeti la Sani, mana kipindi kile wali trend sana sani ilipokuwa kama kijarida na sio Gazeti complete.
Hizo katuni kwenye gazeti la sani kama wangeendeleza na kuzifanyia animation kabisa wangepiga hela sana maana hata movies za marvel cinematic universe (MCU) zilianza kutokana na concept za marehemu Stan Lee
 
sana mkuu hawa watu ni kama walikuwa wana exist nakumbuka kipindi nasoma ndugu wakija kututembelea walitufungashia majarida ya sani ya kutosha kama ya miwili mitatu hivi, hivyo lazima nipitie segment za hao watu Ndumilakuwili, njomba nchumari, harakati za pimbi, sokomoko, kipepe, zena na betina etc na hadithi za sultan Tamba (kama sijakosea)
dah hatari sana kuna wale wazee wa soka bush stars na wa town aisee ilkuwa ni hatari wakikutana.vipi kuhusu wale madogo mapacha unawakumbuka??
 
Hizo katuni kwenye gazeti la sani kama wangeendeleza na kuzifanyia animation kabisa wangepiga hela sana maana hata movies za marvel cinematic universe (MCU) zilianza kutokana na concept za marehemu Stan Lee
kwel kabsa.sijui kiliwakumbuka nini waandishi wake mpaka wakapoteana.
 
Hizo katuni kwenye gazeti la sani kama wangeendeleza na kuzifanyia animation kabisa wangepiga hela sana maana hata movies za marvel cinematic universe (MCU) zilianza kutokana na concept za marehemu Stan Lee
Well said mkuu na ubunifu huu ndio walioukosa.
 
dah hatari sana kuna wale wazee wa soka bush stars na wa town aisee ilkuwa ni hatari wakikutana.vipi kuhusu wale madogo mapacha unawakumbuka??
Daaah. umenikumbusha wale pasua kichwa wenye vichogo kama Madenge, wamefanana sana na mdingi wao.
 
sana mkuu hawa watu ni kama walikuwa wana exist nakumbuka kipindi nasoma ndugu wakija kututembelea walitufungashia majarida ya sani ya kutosha kama ya miwili miwili au mitatu hivi, hivyo lazima nipitie segment za hao watu Ndumilakuwili, njomba nchumari, harakati za pimbi, sokomoko, kipepe, zena na betina etc na hadithi za sultan Tamba (kama sijakosea)
Shkamoo mhenga
 
Back
Top Bottom