ZAMANI TULIKUWA TUNAGEUZWA WALINZI BILA KUJIJUA

ZAMANI TULIKUWA TUNAGEUZWA WALINZI BILA KUJIJUA

simba songea

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2016
Posts
1,498
Reaction score
1,216
Tunacheza kombolela afu woote tunapatikana lakini mkaka mkubwa na mdada mkubwa hawaonekani saa nzima tunangoja waje kutuokoa lakini hawaji.
Shenzi kabisa sijui kwa nini sikushtuka mapema.
Ila Mungu atatulipia kwa kutufanya walinzi wao..
 
d4a5bc2e6bdbe5f390f05966541b24a9.jpg
2f960daf5f70a4ae073ad0b6178fd606.jpg
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahaha umenchekesha sana kuna kitu nimekumbuka..asee kuna msichana tulikuwa tunacheza naye kbaba baba alikuwa anapenda sana kuniambia tukafanye matusi tukifika kwenye pagara ananchungulia tu anacheka sometime ananiachia mzigo..zaman sana sijui siku hizi yupo wapi
 
dah ume nikumbusha mbali sana nilipokuwa namgegeda Khadija makamasi utoto raha sana sijui yupo wapi
 
Hahaha umenchekesha sana kuna kitu nimekumbuka..asee kuna msichana tulikuwa tunacheza naye kbaba baba alikuwa anapenda sana kuniambia tukafanye matusi tukifika kwenye pagara ananchungulia tu anacheka sometime ananiachia mzigo..zaman sana sijui siku hizi yupo wapi
Unataka umlambe?
 
Unataka umlambe?
ZAMANI chumvini ilkuwa puani
Hahaha umenchekesha sana kuna kitu nimekumbuka..asee kuna msichana tulikuwa tunacheza naye kbaba baba alikuwa anapenda sana kuniambia tukafanye matusi tukifika kwenye pagara ananchungulia tu anacheka sometime ananiachia mzigo..zaman sana sijui siku hizi yupo wapi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom