Zamaradi acha kumfananisha Billgate na Mtoto wa Kajala, Unampotosha

Zamaradi acha kumfananisha Billgate na Mtoto wa Kajala, Unampotosha

LICHADI

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
4,491
Reaction score
12,560
Huko katika ukurasa wa Instagram baada ya kusemekana kuwa mtoto wa kajala hakuwa na matokeo mazuri katika mtihani wa kidato cha nne, mastaa mbali mbali walijitokeza kwa wingi wakimkingia kifua mtoto huyu na mmoja wapo alikuwa ni Zamaradi Mketema

Zamaradi alimtia moyo mtoto huyu kwa kumfananisha na billgate kwani hata yeye alofeli na leo ni tajiri wa dunia, ndipo watu kwa Hasira walipovamia page yake na kumwambia asimfananishe paula na Billgate

Screenshot_20190127-201800.jpeg

Screenshot_20190127-201747.jpeg


My take

Mambo yote yanayomkuta huyu mtoto ni kutokana na tabia za mama yake kumchoresha kwenye mitandao angali hata shule Hakumaliza ni vyema angemtuliza tu kimya kimya kuliko kumtangaza tangaza mwishowe watu wamemuanika

Pili zamaradi uache kuandika magazeti ambayo hayana kichwa wala mguu, Billget hakufeli shule yule alikuwa ni Genious ambaye alikuwa na skills za computer kuzidi hadi walimu wake, alifika hadi chuo kikuu bora zaidi duniani na akaacha mwenyewe ili afanye anachokiamini, pia uwakanye hawa mabinti wa skuizi

Mtoto wa kike yupo form two tayari anasmartphone kali , hasomi kazi kukesha mtandanoni akisaka mabwana, unategemea atasoma saa ngapi, na mmoja wao ni huyu paula kutwa nzima kujichoresha yeye na mama yake wamevaa vichupi instagram alafu unasema atakuja kuwa billget?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sina shida na huyo mtoto,ila huyo zama sijui.

Huyu mother bogus kweli, nadhani angeendelea kubaki kimya tu.

Bandiko lake always ni kama anaandika kitabu,alafu anatema pumba tu.

Ukimya aliokuwa nao pindi yupo na ruge ilikuwa bora 100x kuliko sasa.

Yaani hata kuishi na mwanamke Wa aina yake huwa nawazaga,ni Bomu kweli kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumiliki smartphone,kuvaa chupi instagram sio sababu ya kufeli.Kumbuka kuna mabinti hawana
smartphone na hawajui chochote kuhusu instagram lakini wamepata zero as if wametumwa na kijiji.
Trust me kuna mabinti wavaa vichupi instagram,wana mabwana zaidi ya wawili ,wanapiga bangi na pombe balaa lakini darasani wanakimbiza balaa. Bila shaka huyo binti hana akili ya darasani ndio maana kafeli, ila kama ana akili ya maisha atafanikiwa kama Bill gate.
Halafu kuna watu wanashangilia kufeli kwa huyu binti kisa ni mtoto wa star.
Uchawi sio mpaka upae.
Samahani kama nimekukwaza.
USIKU MWEMA.
 
Kumiliki smartphone,kuvaa chupi instagram sio sababu ya kufeli.Kumbuka kuna mabinti hawana
smartphone na hawajui chochote kuhusu instagram lakini wamepata zero as if wametumwa na kijiji.
Trust me kuna mabinti wavaa vichupi instagram,wana mabwana zaidi ya wawili ,wanapiga bangi na pombe balaa lakini darasani wanakimbiza balaa. Bila shaka huyo binti hana akili ya darasani ndio maana kafeli, ila kama ana akili ya maisha atafanikiwa kama Bill gate.
Halafu kuna watu wanashangilia kufeli kwa huyu binti kisa ni mtoto wa star.
Uchawi sio mpaka upae.
Samahani kama nimekukwaza.
USIKU MWEMA.
Walimwengu na roho mbaya ya korosho.
 
Kuna mtu huwa Clouds wanamuita sana kuzungumzia mambo ya kodi,uchumi n.k. Huyu jamaa alipata ZERO. Lakini ana degree kutoka chuo kizuri,ana kampuni kubwa Sana na ni tajiri kuliko wengi aliosoma nao wakapata Division One.
Kufeli Form 4 au 6 sio mwisho wa maisha
 
Acha wafarijiane ila asingemtumia billy angejitumia yeye na kumtaka avumilie tu wataibuka akina ruge wengine mbeleni wa kumkomboa.

Nchi nzima wamefeli wengi ila kisa mama biko baasi paula kageuka empty set kila kona.

Kajala abebe mzigo wake tu,wabongo tuna wivu sana nae akazidi kuturusha roho mara birthday hadi video shoot,mikeki ya maana mashauzi kama yote. Baada ya mitihani tulikomaje kila siku ni photoshoots, minguo ya bei mbaya,makeups, viatu,nywele wacha weee
 
Mkuu usipotoshe basi hio Zero ilimpa msoto wa kurisiti hakuna chuo kinachochukua division zero. Jamaa atakua alijipanga kweli kweli hakukata tamaa.
Kuna mtu huwa Clouds wanamuita sana kuzungumzia mambo ya kodi,uchumi n.k. Huyu jamaa alipata ZERO. Lakini ana degree kutoka chuo kizuri,ana kampuni kubwa Sana na ni tajiri kuliko wengi aliosoma nao wakapata Division One.
Kufeli Form 4 au 6 sio mwisho wa maisha
 
Mkuu usipotoshe basi hio Zero ilimpa msoto wa kurisiti hakuna chuo kinachochukua division zero. Jamaa atakua alijipanga kweli kweli hakukata tamaa.
Nimepotosha nini? Namjua alipata ZERO, na sasa hivi ndio kama ninavyokwambia, labda wewe unamjua kuliko ninavyomjua mimi.
 
Acha wafarijiane ila asingemtumia billy angejitumia yeye na kumtaka avumilie tu wataibuka akina ruge wengine mbeleni wa kumkomboa.

Nchi nzima wamefeli wengi ila kisa mama biko baasi paula kageuka empty set kila kona.

Kajala abebe mzigo wake tu,wabongo tuna wivu sana nae akazidi kuturusha roho mara birthday hadi video shoot,mikeki ya maana mashauzi kama yote. Baada ya mitihani tulikomaje kila siku ni photoshoots, minguo ya bei mbaya,makeups, viatu,nywele wacha weee
Huyo Paula japo kafeli awe na akili ya Maisha maana kaanza kuwajua wanaume toka enzi za Janjaro yuko msingi huko.
 
Hawa ni akina nan? Bill gate ,thomas edition namfaham.lakini hao wengine ni akina nani?

Huko katika ukurasa wa Instagram baada ya kusemekana kuwa mtoto wa kajala hakuwa na matokeo mazuri katika mtihani wa kidato cha nne, mastaa mbali mbali walijitokeza kwa wingi wakimkingia kifua mtoto huyu na mmoja wapo alikuwa ni Zamaradi Mketema

Zamaradi alimtia moyo mtoto huyu kwa kumfananisha na billgate kwani hata yeye alofeli na leo ni tajiri wa dunia, ndipo watu kwa Hasira walipovamia page yake na kumwambia asimfananishe paula na Billgate

View attachment 1006398
View attachment 1006399

My take

Mambo yote yanayomkuta huyu mtoto ni kutokana na tabia za mama yake kumchoresha kwenye mitandao angali hata shule Hakumaliza ni vyema angemtuliza tu kimya kimya kuliko kumtangaza tangaza mwishowe watu wamemuanika

Pili zamaradi uache kuandika magazeti ambayo hayana kichwa wala mguu, Billget hakufeli kizembe zembe, alifika hadi chuo kikuu bora zaidi duniani, pia uwakanye hawa mabinti wa skuizi

Mtoto wa kike yupo form two tayari anasmartphone kali , hasomi kazi kukesha mtandanoni akisaka mabwana, unategemea atasoma saa ngapi, na mmoja wao ni huyu paula kutwa nzima kujichoresha yeye na mama yake wamevaa vichupi instagram alafu unasema atakuja kuwa billget?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumiliki smartphone,kuvaa chupi instagram sio sababu ya kufeli.Kumbuka kuna mabinti hawana
smartphone na hawajui chochote kuhusu instagram lakini wamepata zero as if wametumwa na kijiji.
Trust me kuna mabinti wavaa vichupi instagram,wana mabwana zaidi ya wawili ,wanapiga bangi na pombe balaa lakini darasani wanakimbiza balaa. Bila shaka huyo binti hana akili ya darasani ndio maana kafeli, ila kama ana akili ya maisha atafanikiwa kama Bill gate.
Halafu kuna watu wanashangilia kufeli kwa huyu binti kisa ni mtoto wa star.
Uchawi sio mpaka upae.
Samahani kama nimekukwaza.
USIKU MWEMA.
Tulia wewe msomali walahi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom