Zamaradi acha kumfananisha Billgate na Mtoto wa Kajala, Unampotosha

Zamaradi acha kumfananisha Billgate na Mtoto wa Kajala, Unampotosha

Tatizo wabongo wengi tunadanganyana upuuzi. Billgate hakuwai kufeli sehemu yoyote katika elimu yake in short he was the best mpaka akafika havard. He is a dropout and not a failure same to mark and many more. Hawa watu elimu haikuwai kuwashinda bali wao walikuwa na akili nyingi na hawakuona umuhimu wa kuendelea kusoma kwa kipind hiko.
Tupeane moyo lakini tusitoe mifano ya uongo ili kuwapa moyo. Kufeli shule sio kufeli maisha coz elimu ya darasani ni njia moja tu ya kufikia mafanikio bado ana nafasi kibao tu za kutoboa.

Lakini kunfananisha genious billgates na mark na hao ngumbaru wa mtaani wanaopata div zero ni kuwashushia heshima hawa magenious

Nawasilisha


Sent from my iPhone using JamiiForums
Ndo nilichomaanisha, watu huwa tunachanganya sana mambo, tunafananisha magenius na mabolizozo, ni bora akamfananisha na diamond ambaye sijui hata km alienda shule yoyote ila anaishi maisha bab kubwa, huyo ndo wanafanana naye,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zamaradi andishi zake kwa insta ndo anaona anajua kila kitu. Aache kufananisha uhalisia na maisha ya Instagram na Facebook

Bill Gates ni level nyingine
 
Waambie walahi

Sent using Jamii Forums mobile app

Wabongo tunapenda sana kufarijiana vitu vya kipumbavu.Hakuna anaebjsha kufeli shuke sio kufeli maisha lakini ukija na takwimu za ukweli watu waliofeli maisha hapa bongo asilimia kubwa ni haohao wasio na shule na asilimia kubwa ya waliofaulu maisha ni hao wenye shule. Hizi mambo za kuchukua mifano michache na kuwapa moyo wadogo zetu tunakosea mno.Tena mifano yenyewe ya uwongouongo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Huko katika ukurasa wa Instagram baada ya kusemekana kuwa mtoto wa kajala hakuwa na matokeo mazuri katika mtihani wa kidato cha nne, mastaa mbali mbali walijitokeza kwa wingi wakimkingia kifua mtoto huyu na mmoja wapo alikuwa ni Zamaradi Mketema

Zamaradi alimtia moyo mtoto huyu kwa kumfananisha na billgate kwani hata yeye alofeli na leo ni tajiri wa dunia, ndipo watu kwa Hasira walipovamia page yake na kumwambia asimfananishe paula na Billgate

View attachment 1006398
View attachment 1006399

My take

Mambo yote yanayomkuta huyu mtoto ni kutokana na tabia za mama yake kumchoresha kwenye mitandao angali hata shule Hakumaliza ni vyema angemtuliza tu kimya kimya kuliko kumtangaza tangaza mwishowe watu wamemuanika

Pili zamaradi uache kuandika magazeti ambayo hayana kichwa wala mguu, Billget hakufeli kizembe zembe, alifika hadi chuo kikuu bora zaidi duniani, pia uwakanye hawa mabinti wa skuizi

Mtoto wa kike yupo form two tayari anasmartphone kali , hasomi kazi kukesha mtandanoni akisaka mabwana, unategemea atasoma saa ngapi, na mmoja wao ni huyu paula kutwa nzima kujichoresha yeye na mama yake wamevaa vichupi instagram alafu unasema atakuja kuwa billget?



Sent using Jamii Forums mobile app
Bill Gates ni genius aliyebishana na mwalimu, na alichokuwa akikiamini ndo kilichokuja kumfanya akawa Bilionea, sasa mtoto wa Kajala yeye anaujiniasi wa kuuza papuchi au kucheza movie au kuchati kwenye mitandao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kutetea ujinga, nyie ndo mnaona kuwapa simu watoto wa sekondari ni kuwasaidia naendane na usasa kumbe mnawaharibu, we jiulize binti anasoma sec anasimu anaongea na nani? Muda gani ataweza kusoma kwa bidii na kuacha kuchati na kusoma imbea? Labda kama wewe hujafikia umri wa kuwa na familia lakini nikwambie tu ni aibu ukiwa na mtoto akafeli mtihani hata confidence kwa marafiki zako unakuwa huna.
Kumiliki smartphone,kuvaa chupi instagram sio sababu ya kufeli.Kumbuka kuna mabinti hawana
smartphone na hawajui chochote kuhusu instagram lakini wamepata zero as if wametumwa na kijiji.
Trust me kuna mabinti wavaa vichupi instagram,wana mabwana zaidi ya wawili ,wanapiga bangi na pombe balaa lakini darasani wanakimbiza balaa. Bila shaka huyo binti hana akili ya darasani ndio maana kafeli, ila kama ana akili ya maisha atafanikiwa kama Bill gate.
Halafu kuna watu wanashangilia kufeli kwa huyu binti kisa ni mtoto wa star.
Uchawi sio mpaka upae.
Samahani kama nimekukwaza.
USIKU MWEMA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Subiri mwanao afeli halafu uje uambiwe eti bill gates nae alifeli halafu uone utajisikiaje. Kwahiyo mnataka kutuaminisha mtoto aliyeongoza Tanzania nzima hawezi kuwa bilionea?!

Tatizo ni mastaa kuwaweka watoto wao kwny mitandao bila kutilia mkazo kwny elimu zao halafu hawa watoto wakiwa huko shuleni wanajifanya wao maarufu wanasahu kuwa kuna necta.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kutetea ujinga, nyie ndo mnaona kuwapa simu watoto wa sekondari ni kuwasaidia naendane na usasa kumbe mnawaharibu, we jiulize binti anasoma sec anasimu anaongea na nani? Muda gani ataweza kusoma kwa bidii na kuacha kuchati na kusoma imbea? Labda kama wewe hujafikia umri wa kuwa na familia lakini nikwambie tu ni aibu ukiwa na mtoto akafeli mtihani hata confidence kwa marafiki zako unakuwa huna.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanao kama hana akili hata ukimnyima smartphone atafeli tu.
Lakini kama ana akili atajua muda gani atumie simu na muda gani asome.
Hii ni personal experience sio hadithi za kufikirika.
Nakubaliana na wewe kufeli ni kubaya.
 
Afu eti mtu anakushauri na upotezee shule huku akifananisha Billgate kuacha shule na akatoboa, mnaowashauri madogo kumbukeni kuwa Billgate aliacha Super Vasity in the World "HARVAD UNIVERSITY" na sio St kayumba hizi ambazo tunahangaika nazo cc, elimu na pesa na Utajili ni vitu viwili tofauti kabisa, sjui ni kwa nn hata wasomi wanaoshauli wanashindwaje kutofautisha hizi nyanja mbili ,
Elimu =|= Utajili, havina uhusiano, Elimu isifananishwe na ukwasi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha wafarijiane ila asingemtumia billy angejitumia yeye na kumtaka avumilie tu wataibuka akina ruge wengine mbeleni wa kumkomboa.

Nchi nzima wamefeli wengi ila kisa mama biko baasi paula kageuka empty set kila kona.

Kajala abebe mzigo wake tu,wabongo tuna wivu sana nae akazidi kuturusha roho mara birthday hadi video shoot,mikeki ya maana mashauzi kama yote. Baada ya mitihani tulikomaje kila siku ni photoshoots, minguo ya bei mbaya,makeups, viatu,nywele wacha weee

Kilichomponza ni hayo mashauzi yake na u star basi.
 
Hivi huyo Bill gate angezaliwa afrika angekuwa hivyo alivyo na hizo akili zake?

Mkuu intelligence mtu huzaliwa nayo na huwa affected mno na genetics ila knowledge huipata duniani na ni factor ya environment. Sasa wabongo wengi tunavichanganya hivi viwili . Wewe ulivyosema akili ulimaanisha nn?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu intelligence mtu huzaliwa nayo na huwa affected mno na genetics ila knowledge huipata duniani na ni factor ya environment. Sasa wabongo wengi tunavichanganya hivi viwili . Wewe ulivyosema akili ulimaanisha nn?


Sent from my iPhone using JamiiForums
Watu wanasema Bill gate alikuwa genius,hivyo mie nalimaanisha huo ugenius wake.
 
Huyu dem akili yake ipo chini sana....ajifunze kutofautisha mambo ya nyakati
 
Hivi huyo zama anajua bill gates aliongoza state nzima ya Washington in mathematics..

Sent using Jamii Forums mobile app
Hana idea....wakishasimuliwaga story ... basi wanaidaka juu juu kanakwamba wanaijua in and out alafu pia ajifunze kutofautisha MTU mwenye akili na ambitions aliyeacha shule kwa hiari yake, na mtu mjinga wa darasani...hv ni viumbe viwili tofauti
 
Back
Top Bottom